Wamiaji haramu ndio hupenda sana majina hayo yasiyo na jina la ubini au ukooTatizo linaanzia hapa, Prosper Prosper! Sijui tutajulishana vipi mpaka tuwafikie wa nyumbani! Yote ni kheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamiaji haramu ndio hupenda sana majina hayo yasiyo na jina la ubini au ukooTatizo linaanzia hapa, Prosper Prosper! Sijui tutajulishana vipi mpaka tuwafikie wa nyumbani! Yote ni kheri.
Andika tuu kwa international audience 😆Hakinogi humu kuburudika 🤣
Google translate itanihusu haswaa sasa.. Kiukweli najishangaa maana naona nimeandika sema kimkato.. Kumbe duh!!! 🤸🏽♀️🤸🏽♀️🤸🏽♀️
😍🤗
Kuna tofauti gani na kazi ya ulinzi. Au kingereza kimekuchanganya. Mlevi alisikikaJamaa alikuwa cyber security analyst Dah😭😭😭😭😭
Sijakuelewa Aiseee.Kuna tofauti gani na kazi ya ulinzi. Au kingereza kimekuchanganya. Mlevi alisikika
Hiyo ni kazi ya ulinzi wa system from digital attack......hujaelewa nini hapo. Au kwasababu wale wa kienyeji wanashika marungu?Sijakuelewa Aiseee.
Kwa sentesi hiyo mkuu una maana Ukristo unakuzimisha ukifa ukiwa mbali na kwenu lazima usafirishwe ukazikwe kwenu, kitu ambacho si kweli. Kwa ufupi Ukristo unakupa freedom ya kuzikwa upendavyo iwe ughaibuni au kwenu, uzikwe muda gani baada ya wewe kufa it's up to you ya weza kuwa dakika 10 baada ya kufa au mwaka baada ya kufa. Unaweza kuzikwa kwenye coffin au la. Chaguo ni lako hakuna mambo ya kulazimishana.Pamoja na magumashi ya uislamu ila kwenye ndoa na mazishi wameupiga mwingi sana mtu akifa na azikwe popote
Nimekwambia kuwa sijui cyber security ni nani?Hiyo ni kazi ya ulinzi wa system from digital attack......hujaelewa nini hapo. Au kwasababu wale wa kienyeji wanashika marungu?
Basi kaa kwa kutuliaNimekwambia kuwa sijui cyber security ni nani?
Who wasn’t drunk?He was not drunk
Amarula nikuleteeSipendi pombe
Ambazo hizo kazi bongo wanafanya polisi kukamata simu za watu na kula rushwaJamaa alikuwa cyber security analyst Dah😭😭😭😭😭
Mtu umeenda mwenyewe ukifa unataka watu wachange urudishwe! Ama Ni mimi tu ndo sijaelewa??Michango wa kusafirisha maiti kurudi bongo sasa ndo huwa kimbembe. Yule Edm hutamsikia hapo. Mtu amekaa mbele Miaka kadhaa ila ukimchek Hata lugha utata mtupu
Ndio hujaelewa mbuzi wewe, kuna mtu sehemu yoyote umeona kaomba mchango??Watu tupo kwenye majonzi mibongo inaandika upuuzi upuuzi tu humu.Mtu umeenda mwenyewe ukifa unataka watu wachange urudishwe! Ama Ni mimi tu ndo sijaelewa??