Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
John Wickzer, kwanza chukuwa mauwa yako kwa ufafanuzi mzuri. Tusitake kuilahumu serikali kwa kilichowatokea Watanzania walioko Israel. Wanaopaswa kubeba lawama ni Wauwaji wenyewe yaani Hamas. Hawa vijana kama walipelekwa kwa nia ya kujifunza kilimo, kosa la Serikali ni lipi? Kwa wale waliopelekwa kwa nia ya mafunzo ya kijeshi, kosa la Serikali ni lipi?Watu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
Kauwa raia wengi ulikuwepo?......tupe ushahidi na mbona picha haziendani kabisa ............wewe uliyechangia nahisi Linda moja limeachiaKumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.
Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773
Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770
Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772
Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!
Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!
Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795
Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!
Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!
Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!
NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814
Yaan ukamatwe harafu uachiwe umeshika silaha yako utafikiri wamekamata mwizi wanapeleka kisutu??kichwani ulisomea ujingaJe, kwenye zile video wewe umeona yule Mtanzania alikuwa ameshika silaha yoyote ya Moto mikononi mwake na alikuwa anapambana na Wagamgambo wa Hamas? Je, umeona video ya namna hii??
Hata kama alikuwa Mwanajeshi au alikuwa yuko huko kwa ajili ya Kujifunza Mafunzo ya Kijeshi, bado hakustahili kuuawa na wale Wanamgambo wa Hamas, kwa sababu wakati walipomkamata mtu huyo hakuwa na silaha yoyote ya moto au kupambana na Wanamgambo wa Hamas, Sheria za Vita kote duniani zinakataza kuua raia wasio na silaha au kuua Wanajeshi ambao wamejisalimisha kwa majeshi pinzani kwenye maeneo yenye mapigano ya vita.
Niliandika hapa siku ya kwanza ile video ilipotolewa mod wakaufuta. Kiuhalisia kwa sass Israel ana recruit vijana wengi kutoka Afrika kwa gia ya kazi za mashambani lakini ukweli wanapelekwa vitaniHivi kumbe hili swala ni serious
mngejisikiaje kama huyo mtanzania angeuwawa akiwa upande wa hamas? vipi na wale vijana wanaokamatwa kwenye mipaka ya kenya wakielekea somalia kujiunga na kundi la kigaidi la al shabaab mbona povu huwa haliwatoki? tatizo mnajadili mambo kwa hisia za imani za kidini mbwa nyie, udini umewajaa balaaWatu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
Kwamba humuoni hapo akisomea martial agriculture? Wabongo huwa mnadanganyika kirahisi sanaKwani nguo ya ndani si unaweza ukanunua tu na ukavaa?
Kweli mkuu shalom, hata USA huwa haina shida na wanajeshi na wanajeshi wake hawazeeki wala hawafi shida ni kwa wa Bongo, hiyo idadi ya akiba ni ndogo sana ukilinganisha ya wanajeshi wa akiba wa RussiaIsrael haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.
Kweli John na uharamu hauko na wayahudi wao ni Taifa teule ile ni ardhi yao ya AHADI hata wakikuchukua wewe uende uko tayariWatu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
Picha aliyopiga joshua akiwa na uniform za jeshi la israeli ni yeye? Je mwanafunzi wa kilimo kujiingiza katika shughuli za majeshi ya israeli ni sawa? Kwa utaratibu upi? Waziri wa mambo ya nje Januari makamba watanzania tunataka majibu.Hiyo article ukiangalia footage ya wanajeshi wetu kuwa trained Israel ni ya May 4 ,2019 sasa uhusiano wa huyu kijana ameenda mwezi mmoja tu na amekuwa drafted hadi kupewa gwanda kwa kozi ya nchi ya nje , halafu inayochukua zaidi ya miezi 3 itawezekanaje?
Umeona rangi mkono na uso vilivyo?Picha aliyopiga joshua akiwa na uniform za jeshi la israeli ni yeye? Je mwanafunzi wa kilimo kujiingiza katika shughuli za majeshi ya israeli ni sawa? Kwa utaratibu upi? Waziri wa mambo ya nje Januari makamba watanzania tunataka majibu.
Just a Photoshop, nakumbuka miaka Fulani ya nyuma, Mwanaharakati mmoja Mpinzani wa Mugabe alichora picha ya Rais Mugabe akiwa uchi wa mnyama kwa kutumia teknolojia ya Photoshop.Hawafanani hata kidogo mollel ana sura ndefu ya box huyo mwanajeshi ana sura ya mviringo !!! HAWAFANANI...!!
Kaka kwa sisi Wakristo tusikubali, na hawa jamaa hata kama si photoshop mbona wao vijana wao wanaenda kwa Alshabab, hao Hamas kwanza kwanini waivamie ardhi Takatifu ya Israel, sisi tulishafutiwa dhambi zetu hata kama kweli Molell alikuwa mwanjeshi na kuuwa watoto vichanga wa kipalestina kwanini wamuuwe?Just a Photoshop, nakumbuka miaka Fulani ya nyuma, Mwanaharakati mmoja Mpinzani wa Mugabe alichora picha ya Rais Mugabe akiwa uchi wa mnyama kwa kutumia teknolojia ya Photoshop.
Joshua alelienda kusomea martial agriculture?Acha kudanganya watu.
Sasa kumbe joshua kafia vitani kwanini mnaleta malalamiko?Kwa sisi wasomi wa fani mbalimbali, hata mishe za kawaida mitaani tu huwa tunaingia field kupata ujuzi na uzoefu kazini. Sasa kama kuna fursa zipo sehemu fulani duniani kwa nini tusipeleke wanafunzi wetu wakapate ujuzi na uzoefu huko? Kwanza kuna umuhimu wa kupeleka wanajeshi wetu kwenye operation mbalimbali duniani wakapate mbinu za kimedani kuja kuimarisha jeshi letu iwe wazi au kwa siri, peleka hata kwenye vikundi vya kigaidi huko nje ndio mafunzo yenyewe hayo
🤣🤣🤣🤣Swali langu ni moja tu!
Kwanini avae Boxer ya Jeshi?
Hasa kwenye nchi yenye vita?
Picha 2 ya mtu mmoja zilizopigwa wakati tofauti haziwezi kufanana kwani ndevu hazikui?Umeona rangi mkono na uso vilivyo?
Umeona alignment ya shingo na kichwa kwenye hiyo picha
Umeona ndevu zilivyo kwenye picha?