Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Watu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
John Wickzer, kwanza chukuwa mauwa yako kwa ufafanuzi mzuri. Tusitake kuilahumu serikali kwa kilichowatokea Watanzania walioko Israel. Wanaopaswa kubeba lawama ni Wauwaji wenyewe yaani Hamas. Hawa vijana kama walipelekwa kwa nia ya kujifunza kilimo, kosa la Serikali ni lipi? Kwa wale waliopelekwa kwa nia ya mafunzo ya kijeshi, kosa la Serikali ni lipi?

Inaweza ikatokea nje ya utaratibu wa serikali Mtanzania binafsi akajiunga na jeshi la Israeli kama njia ya kupata ajira. Ktk mazingira hayo vilevile serikali haipaswi kubeba lawama. Labda waniambie JWT imetuma wapiganaji kwenda kuisaidia Israel, nitawaelewa.

Kumekuwa na propaganda za hovyo na nyingi ukiziangalia zina elements za udini ndani yake. Kutuletea picha ya kijana mweusi mwenye kombati ya jeshi la Israeli haitoshi kutuaminisha kwamba huyo kijana ni Mtanzania. Na hata kama ni Mtanzania haielezi mazingira yaliyomfanya aingie kwenye hilo jeshi.
 
Naona umechanganya mambo! Huyo hakuwa mwanajeshi huyo ni raia wa kitanzania!
 
Kumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.

Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773

Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770

Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772

Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!

Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!

Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795

Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!

Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!

Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!

NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814
Kauwa raia wengi ulikuwepo?......tupe ushahidi na mbona picha haziendani kabisa ............wewe uliyechangia nahisi Linda moja limeachia
 
Je, kwenye zile video wewe umeona yule Mtanzania alikuwa ameshika silaha yoyote ya Moto mikononi mwake na alikuwa anapambana na Wagamgambo wa Hamas? Je, umeona video ya namna hii??
Hata kama alikuwa Mwanajeshi au alikuwa yuko huko kwa ajili ya Kujifunza Mafunzo ya Kijeshi, bado hakustahili kuuawa na wale Wanamgambo wa Hamas, kwa sababu wakati walipomkamata mtu huyo hakuwa na silaha yoyote ya moto au kupambana na Wanamgambo wa Hamas, Sheria za Vita kote duniani zinakataza kuua raia wasio na silaha au kuua Wanajeshi ambao wamejisalimisha kwa majeshi pinzani kwenye maeneo yenye mapigano ya vita.
Yaan ukamatwe harafu uachiwe umeshika silaha yako utafikiri wamekamata mwizi wanapeleka kisutu??kichwani ulisomea ujinga
 
Watu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
mngejisikiaje kama huyo mtanzania angeuwawa akiwa upande wa hamas? vipi na wale vijana wanaokamatwa kwenye mipaka ya kenya wakielekea somalia kujiunga na kundi la kigaidi la al shabaab mbona povu huwa haliwatoki? tatizo mnajadili mambo kwa hisia za imani za kidini mbwa nyie, udini umewajaa balaa
 
Israel haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.
Kweli mkuu shalom, hata USA huwa haina shida na wanajeshi na wanajeshi wake hawazeeki wala hawafi shida ni kwa wa Bongo, hiyo idadi ya akiba ni ndogo sana ukilinganisha ya wanajeshi wa akiba wa Russia
 
Watu (Wanajeshi) kutoka nchi moja na kwenda kupata Mafunzo ya Kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa Kisheria, Mataifa karibu yote hapa duniani yana utaratibu au mipango ya namba hii. Siyo kosa kufanya hivyo na wala siyo kitu kigeni au kitu cha ajabu. Hata hapa Tz hivi sasa, kuna raia wa nchi zingine mbalimbali kwenye Vyuo vya Kijeshi ambao wanapata mafunzo yao ya kijeshi.
Kosa linakuja pale ambapo Mtu anaposhiriki Operesheni Haramu za Kijeshi ktk ardhi ya nchi nyingine.
Kweli John na uharamu hauko na wayahudi wao ni Taifa teule ile ni ardhi yao ya AHADI hata wakikuchukua wewe uende uko tayari
 
Hiyo article ukiangalia footage ya wanajeshi wetu kuwa trained Israel ni ya May 4 ,2019 sasa uhusiano wa huyu kijana ameenda mwezi mmoja tu na amekuwa drafted hadi kupewa gwanda kwa kozi ya nchi ya nje , halafu inayochukua zaidi ya miezi 3 itawezekanaje?
Picha aliyopiga joshua akiwa na uniform za jeshi la israeli ni yeye? Je mwanafunzi wa kilimo kujiingiza katika shughuli za majeshi ya israeli ni sawa? Kwa utaratibu upi? Waziri wa mambo ya nje Januari makamba watanzania tunataka majibu.
 
Picha aliyopiga joshua akiwa na uniform za jeshi la israeli ni yeye? Je mwanafunzi wa kilimo kujiingiza katika shughuli za majeshi ya israeli ni sawa? Kwa utaratibu upi? Waziri wa mambo ya nje Januari makamba watanzania tunataka majibu.
Umeona rangi mkono na uso vilivyo?

Umeona alignment ya shingo na kichwa kwenye hiyo picha

Umeona ndevu zilivyo kwenye picha?
 
Hawafanani hata kidogo mollel ana sura ndefu ya box huyo mwanajeshi ana sura ya mviringo !!! HAWAFANANI...!!
Just a Photoshop, nakumbuka miaka Fulani ya nyuma, Mwanaharakati mmoja Mpinzani wa Mugabe alichora picha ya Rais Mugabe akiwa uchi wa mnyama kwa kutumia teknolojia ya Photoshop.
 
Just a Photoshop, nakumbuka miaka Fulani ya nyuma, Mwanaharakati mmoja Mpinzani wa Mugabe alichora picha ya Rais Mugabe akiwa uchi wa mnyama kwa kutumia teknolojia ya Photoshop.
Kaka kwa sisi Wakristo tusikubali, na hawa jamaa hata kama si photoshop mbona wao vijana wao wanaenda kwa Alshabab, hao Hamas kwanza kwanini waivamie ardhi Takatifu ya Israel, sisi tulishafutiwa dhambi zetu hata kama kweli Molell alikuwa mwanjeshi na kuuwa watoto vichanga wa kipalestina kwanini wamuuwe?
 
Kwa sisi wasomi wa fani mbalimbali, hata mishe za kawaida mitaani tu huwa tunaingia field kupata ujuzi na uzoefu kazini. Sasa kama kuna fursa zipo sehemu fulani duniani kwa nini tusipeleke wanafunzi wetu wakapate ujuzi na uzoefu huko? Kwanza kuna umuhimu wa kupeleka wanajeshi wetu kwenye operation mbalimbali duniani wakapate mbinu za kimedani kuja kuimarisha jeshi letu iwe wazi au kwa siri, peleka hata kwenye vikundi vya kigaidi huko nje ndio mafunzo yenyewe hayo
 
Kwa sisi wasomi wa fani mbalimbali, hata mishe za kawaida mitaani tu huwa tunaingia field kupata ujuzi na uzoefu kazini. Sasa kama kuna fursa zipo sehemu fulani duniani kwa nini tusipeleke wanafunzi wetu wakapate ujuzi na uzoefu huko? Kwanza kuna umuhimu wa kupeleka wanajeshi wetu kwenye operation mbalimbali duniani wakapate mbinu za kimedani kuja kuimarisha jeshi letu iwe wazi au kwa siri, peleka hata kwenye vikundi vya kigaidi huko nje ndio mafunzo yenyewe hayo
Sasa kumbe joshua kafia vitani kwanini mnaleta malalamiko?
 
Back
Top Bottom