Uchaguzi 2020 Mtanzania amka: Wasanii kazi yao ni usanii, Kampeni za Uchaguzi Mkuu si usanii, hatuhitaji maigizo wala kukatiwa mauno!

Uchaguzi 2020 Mtanzania amka: Wasanii kazi yao ni usanii, Kampeni za Uchaguzi Mkuu si usanii, hatuhitaji maigizo wala kukatiwa mauno!

Safi sana.nchi bado iko na shida nyingi sana zakijamii lakini hazisemwi tumekalia kuzungumzia mambo makubwa makubwa wakati madogo yakijamii tumeshindwa kuyafanya.safi sana kijana.
 
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.

Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.

Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni ama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k

Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?

Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo

Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa


Dogo ahamishiwe kwenye team ya campaini ya raisi
 
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.

Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.

Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni ama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k

Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?

Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo

Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa


Duuuh hadi mwili unasisimka. Lissu upgrade this boy and let him be in your campaign team .
 
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.

Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.

Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni ama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k

Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?

Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo

Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa

Dogo yuko vizuri mno...Anajua kuongea na hadhira
 
Ameongea vyema lakini tatizo la vijana dizaini hii wa CHADEMA huwa hawakawii kununuliwa na kugeuka wanapokuwa "approached" na mawakala wa Magufuli.
 
Aiseee huyo Ni jembe kwelikweli na waliofatia pia Ni majembe yote , Lumumba nzima si Jiwe , Bashiru , Polepole wenye uwezo wa kujibu hizo hoja hakuna , haya kijani kibichi njooni sasa mtuambie mauno ya Diamond , yatalipa wastaafu, yataleta ajira , yatatatua changamoto za huduma duni za afya , ukosefu wa fedha mtaani , umaskini , ukosefu wa madawati n.k.
Jukwaa ni sehemu ya kufafanua utatizi sio kuonyesha mauno Abarikiwe kijana wa Mwanza aunganishwe kwenye ziara ya Lisu
 
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.

Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.
...
Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?

Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo

Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa



Ukitaka kujua uandishi kioja ndio huu. Kwamba huyo kijana wa CHADEMA katoa hotuba iliyobora kabisa! Kwa Sera zipi? Hivi, CHADEMA ina Sera wanazozinadi kwenye kampeni zaidi ya kudharilisha viongozi?

Aluu Mkuu Missile of the Nation ati kutembea na wasanii ni kuwasaulisha wapiga kura matatizo yao kupitia burudani. Du, yaani kwa uzoefu wako hujui nguvu ya wasanii kufikisha ujumbe kwa jamii? Pole sana.
 
Safi sana.nchi bado iko na shida nyingi sana zakijamii lakini hazisemwi tumekalia kuzungumzia mambo makubwa makubwa wakati madogo yakijamii tumeshindwa kuyafanya.safi sana kijana.
Ebu eleza mikakati ya kutatua shida zote za jamii pasipo kuwa na uchumi imara? Mtu kama wewe ndiye uota kuwa na ghorofa wakati hata mlo wa siku moja ni wa kubaghaiza.

Kwa kweli wafuasi wa CHADEMA humu JF ndiyo maana mwaitwa nyumbu. Kutwa kushabikia mada za kipuuzi zinazohusu watu na matukio.
 
Ukitaka kujua uandishi kioja ndio huu. Kwamba huyo kijana wa CHADEMA katoa hotuba iliyobora kabisa! Kwa Sera zipi? Hivi, CHADEMA ina Sera wanazozinadi kwenye kampeni zaidi ya kudharilisha viongozi?

Aluu Mkuu Missile of the Nation ati kutembea na wasanii ni kuwasaulisha wapiga kura matatizo yao kupitia burudani. Du, yaani kwa uzoefu wako hujui nguvu ya wasanii kufikisha ujumbe kwa jamii? Pole sana.
Mpe masikini burudani asahau shida zake au vipi?
 
Hii ndiyo hotuba bora kabisa kutolewa tangu kampeni zianze
Aisee! Amenifikirisha! Hivi VIUNO VYA DIAMOND ndio utatuzi wa matatizo yetu? Halafu cha kufurahisha, wamewasajirisha wasani woooooooote maarufu, ili upande wa pili wasiwapate!
Ila kuna mmoja, KIBA naona pamoja na kutoa burudani, yeye kakataa KUVAA JEZI.
 
Ushenzi kama huu unaonekana kwenye kampeni za CCM tu. Wamelaaniwa
JamiiForums-1343039852.jpg

tapatalk_1588320087141.jpeg

tapatalk_1571928346669.jpeg

tapatalk_1571843276540.jpeg

FB_IMG_1599287479466.jpg

FB_IMG_1570960151009.jpg
 
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.

Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.

Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni ama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k

Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?

Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo

Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa


Huyu dogo ni msomi aliyeaumizwa na sera za CCM. Ana hasira.
 
Back
Top Bottom