Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaPoint nzito mpaka nimetikisa kichwa
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.
Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.
Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni ama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k
Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?
Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya wagombea vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo
Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa
Kiuhalisia CDM ni chama makini na wanachama wake karibia wote ni watu wenye akili timamu na wanaojitambua bila kujalisha umri au elimu yao.Wazalendo kweli kweli tofauti na CCM ambayo ni kokoro hasa,hata wenye akili nao wakiingia humo wanaondolewa kiungo muhimu-akili.Chadema ni chama makini sana.. wote vichwa.
Jibu ni kioja maana hapo ulipo husikiliza nyimbo za wasanii (injili, bongo flava, zuku, taarabu, singeli, nk) siyo tu kwa mziki wenyewe bali ujumbe uliomo kwenye tungo za wimbo, au?Mpe masikini burudani asahau shida zake au vipi?
Katika kinyang'anyiro cha ugombea ubunge, wagombea wengi sana wametoa hotuba zao.
Katika hotuba zote, iliyobora kabisa ni hotuba iliyotolewa na mpiga debe wa mgombea ubunge wa Chadema huko Mwanza katika Jimbo la Nyamagana huko Mwanza.
Kijana huyo amewakumbusha wapiga kura wake kuhusu umuhimu wa uchaguzi huu, amewaasa wote wanaodhani kuwa uchaguzi ni kama vile ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Amewaambia kuwa uchaguzi unahusu ajira zao, pensheni zao n. k
Pia amewaasa wananchi kuwa Magufuli hana sera za kuwaambia wananchi ndiyo maana anazunguuka na wasanii ili kuwasahaulisha matatizo yao kupitia burudani. Akahoji kuwa kwani mauno ya Diamond yanasaidiaje kwa mfano wazee wetu kupata pensheni zao?
Kwa kweli inafurahisha kuwa TZ tuna baadhi ya vijana vichwa, ambao naamini kama wakiingia bungeni watakuwa na mchango mzuri sana wa mawazo
Kwa taarifa zaidi angalia hotuba yenyewe hapa
Nadhani twende zaidi ya hotuba i.e. maongezi /maneno twende kwenye kutenda. Tuliwachagua wapinzani wengi badala ya kutetea maslahi ya Nchi wanagombania ruzuku, uteuzi wa upendeleo (viti maalum), wameshindwa kuonyeshwa mfano wa uwazi wa mapato ya chama chao sembuse Nchi. Wanataka tujifungie ndani kwa ajili ya COVID-19 kwa kuwa mabeberu wanataka hivyo, ili mimi niwaamini waambie leo wajifungie kwa ajili ya KORONA! Maneno lazima yaendane na matendo vinginevyo ni makelele tu!Ngoja tuwasubiri waje kujibu hoja kama walivyoagizwa Na katibu wao
Msikilizeni huyu kijana.
Baadhi ya wasanii walikuwa wakifanya mambo machafu.
Mambo yasiyoendana na maadili ya Watanzania.
CCM iwe makini katika kuchagua wasanii wa kufanya kampeni.
Haya wasilisha kwenye serikali husika iwachukulie hatua siyo hii, serikali ya CCM hawezi kuingilia mambo ya nchi nyingine.Ushenzi kama huu unaonekana kwenye kampeni za CCM tu. Wamelaaniwa View attachment 1568607
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wananchi badala ya kupewa majibu ya matatizo yao wanapewa mauno huu utawala unalaana huu.Ushenzi kama huu unaonekana kwenye kampeni za CCM tu. Wamelaaniwa View attachment 1568607