Uchaguzi 2020 Mtanzania amka: Wasanii kazi yao ni usanii, Kampeni za Uchaguzi Mkuu si usanii, hatuhitaji maigizo wala kukatiwa mauno!

Chama cha wahuni hicho na waongo hawajui wanataka nini Mkuu.


Msikilizeni huyu kijana.

Baadhi ya wasanii walikuwa wakifanya mambo machafu.

Mambo yasiyoendana na maadili ya Watanzania.

CCM iwe makini katika kuchagua wasanii wa kufanya kampeni.

 
Vijana wajitathmini kura zao watampa nani. Nchi ni yao. Maamuzi ni yao.

Hizi kukuru kakara zote za ccm, target ni wao. Hivyo kazi kwao.
 
MaCCM yamehamishia mauchafu yao ya mbio za Mwenge kwenye kampeni.
 
CCM ndio zao hizo,hawana Sera za kuwaambia watu,kazi yako kuambatana na wafanya vituko
 
Halafu nyie CCM mnajifanya kukemea mambo ya 'kishoga' kumbe huko kwenu ndio mna kiwanda Cha kufyatua hao machoko' na stripers!

Ona huyu mchicha mwiba mwanaccm, duuh laana hii!View attachment 1569057
Hivi kumbe vyama vingine hamjawahi tumia wasanii au kwa vile mmewakosa safari hi,i maneno yamekuwa mengi endeleeni na sera za wasanii wenzenu wanapeta hahaaaaaa uzuri namba mlishaisoma
 
Nimemsikiliza huyu kiongozi kijana wa huko Mwanza ndani ya Chadema hakika nimejua Chadema ina hazina ya vijana wenye akili sana ila hatujawapa fursa ya kutosha.
Ameelezea dharau itumikayo na Magufuli na CCM yake ambapo badala ya kutumia mikutano hii ya kampeni kuwaeleza wananchi mbinu watakazo kuja nazo kuondoa umasikini, elimu duni, ajira, pension za wastaafu nk wao wanawaletea Mauno na wasanii. Hii ni dharau kubwa. Msikilize

 
Mkuu JokaKuu hata kama una chuki na utawala ulioko madarakani, kwa sababu zozote, hoja zako ni vioja mwanzo mwisho.

Natamani kukulaumu kwa jinsi ulivyowananga na kuwadharilisha wasanii, lakini nyuma ya yote jilaumu mwenyewe

Mnadai Uhuru na Haki, iweje wasanii watengwe? Mbona mnajichanganya? Huo siyo unafiki?
 

..nyimbo na mashairi ya ccm yanapaswa kuwachoma MABEBERU.

..CCM imeacha asili yake imekuwa chama cha wahuni wasiofuata maadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…