TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini


Very sad aise, hao waarabu ni makatili sana, walichomfanyia mwafrika mwenzetu sio kabisa.
 
Mbona we huendi huko Namibia?
 
Wallailai walailai walai[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Columbus alikua mjinga?
Vasco Da Gama alikua mjinga? Hao makaburu wenyewe vipi? Maisha yanatafutwa popote ndugu yangu juzi kati mdada watu kauawa na vibaka kawe mzimuni tena nyumbani kwao tusiwakatishe tamaa explorers wetu
 
Tokea nisome Ripoti Moja kuwa India na Afrika Kusini kila baada ya dakika Nne ( 4 ) kuna Tukio la Kiuhalifu na hata Mauwaji kutokea ( hutokea ) wala sijashangaa sana kwa hili na hii Taarifa kwani ni Kawaida na limeshazoeleka pia.
 
Hii nchi iko poa ila naambiwa maisha yake yapo juu sana ni kweli hama niliyemsikia alikuwa na porojo!.
Porojo tu ,,

South African's Rand na Namibian dollar zipo sawa.

Kuna fursa nyingi sana pale.

Population ya watu ni ndogo sana,
Inchi kubwa.
Wanapenda sn wageni.
 
Porojo tu ,,

South African's Rand na Namibian dollar zipo sawa.

Kuna fursa nyingi sana pale.
Population ya watu ni ndogo sana,
Inchi kubwa.
Wanapenda sn wageni.
Kabla ya yote; kama uliwahi kwenda ni vipi utaratibu wa Visa na getini (mnaita border) kwa wageni?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…