TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini

TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini

Unajaribu kuconnect dot lakini haiingii aki, kigogo mmoja mwanae kaajirwa kuuza duka

Hahaha, nadhani mwandishi alipoandika neno, “Kigogo” amemaanisha jina la sehemu, sio hadhi ya mtu. Inawezekana Mkuu ameunganisha dots kwa kutozingatia Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Kigogo.
 
Familia moja ya Kigogo, Dar es Salaam, inaomboleza kifo cha mtoto wao nchini Afrika Kusini. Ericky Ismael Ngobei, 22, aliuawa kwa kupigwa risasi Alhamisi iliyopita usiku katika eneo la biashara lenye watu wengi baada ya kuzozana na washambuliaji.

Ndugu wa marehemu amesema kuwa shambulio hilo lilitokea mwendo wa saa 11 jioni lakini hakuweza kubainisha ni katika mji gani. Kwa mujibu wa chanzo cha familia, kijana huyo alihamia Afrika Kusini hivi karibuni ambako aliajiriwa kama muuza duka.

Saa 11 jioni siku ya Alhamisi akiwa kazini, marehemu alikabiliwa na watu watatu ambao walitaka kuhudumiwa mara moja. Hata hivyo, Ngobei aliwaambia wawe na subira kwani alikuwa akiwahudumia wateja wengine katika eneo la biashara lililojaa watu.

"Katika ugomvi uliofuata, mmoja wao alichomoa bunduki na kumpiga risasi tumboni na kukimbia," jamaa wa karibu wa familia hiyo alisema. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu inaratibiwa na wanajumuiya ya Watanzania nchini Afrika Kusini.
Yaani inasikitisha sana,yaani mtu upo sehemu yako ya biashara lazini kitendo cha kumjibu mteja na mteja akaona umemdharau anakuua kweli,hao majamaa ni wakatili sana
 
Marehemu alikosea mno, South hutakiwi kubishana na wazawa. wengi wao wana Narcissistic personality disorder. Never never never underestimate your opponent.
 
Ignorance
Ignorance
Ignorance
Kufuata mkumbo
Kufuata mkumbo
Kufuata mkumbo
Ushamba
Ushamba
Ushamba
Note: ujinga ndio the biggest factor/reason inayowafanya wabongo waamini S.A inamaisha bora zaid yaTz, kama wasouth wangeikimbia hiyo nchi nani angewajengea? Ata mkoloni angeikimbia iyo South baada ya utumwa kuisha nan angeijenga? Resources ziko nyingi lkn wajinga hawaachi kuzikimbia nchi zao,

Elimu ndiyo mkombozi pekee kwa vichwa vya hawa wajinga waliokosa uzalendo
Wewe ndio mshamba unayetaka watu wasitoke kutafuta fursa uko duniani.maisha yako popote na mauaji yako kila mahali ata hapa bongo watu wanauana kila siku.mengine ni ajali tu na maisha lazima yaendelee.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mifumo ya kibepari ndio chanzo, kunakuwa na 'gap' kubwa kwa walionacho na wasiokuwa nacho
 
Namibia ni free entry kwa passport ya Tanzania.
Uwe na chanjo tu
Na address uendako.
St Mary's Church windhoek
Nlihudhuria ibada hapo

Alafu mkuu unajua vijana wa siku hizi
Waoga sana kutoka

Ova
IMG-20220921-WA0010.jpg
 
Nimeleft mzansi juzi usiku, na usiku huo niolikuwa natoka kuna mtu alipigwa risasi zaidi ya 8 mita kadhaa mbele ya macho yangu. Wapigaji walikuwa wamepaki gari yao kwenye robot wakisubiri robot ifungue na mlengwaji alikuwa kasimama karibu na saloon moja hivi. Jamaa uhai umlitoka pale pale..
Ni katika mtaa wa Sunnyside wenye foreigners wengi.
 

Attachments

  • 20220921_184309.jpg
    20220921_184309.jpg
    201.1 KB · Views: 14
  • 20220918_212752.jpg
    20220918_212752.jpg
    402.7 KB · Views: 13
Kuamia tu mkoani mm Kaz kweli kweli acha unimbie sijui nenda Nairobi tu hapo natetemeka balah nchi hii Ni nzuri sna amanin tele mkp uuwawe na bastola Basi ujue umewaudhi washambuliaji

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
South Africa Kuna kiwango kikubwa sana cha uhalifu. Mnakumbuka July unrest 2021 ambapo walikuwa wanavamia na kupora biashara? Nchi imejaa walevi , wazinzi na wavivu . Wakitaifisha mashamba inaweza ikaja kuwa new Zimbabwe. Wanachukia wageni eti wanapora ajira ambazo wazawa wanaweza Fanya. Wazawa nyoko sana
 
Namibia ni free entry kwa passport ya Tanzania.
Uwe na chanjo tu
Na address uendako.
1. Chanjo ya covid au yellow
2. fever? How come kama sina address na ninafikia lodge?.
3. Wana utaratibu wa show money pale border?.
...
 
Back
Top Bottom