TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini

TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini

South Africa si salama sana kwa wageni,

Sijuwi wanaipendea nn watanzania.

Namibia ipo powa sn kwa fursa yeyote.
Inchi ndogo ila tamu sn.
Uchumi wa South Africa ni mkubwa na fursa huwezi linganisha na Namibia mkuu
 
Nikajua Panyaroad wamehamia SA dooh pole sana marehemu astarehe kwa amani.,
Pole sana majeruhi, wafiwa, wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na taifa kwa ujumla

Wallailai walailai walai rajun
Bwana alitoa bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
Mwanga wa milele umpe ee bwana
Astarehe kwa Amana..
dah.--- aisee.
 
Back
Top Bottom