Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
😂Hahahaaaaaa nilijua nimeshaona yote mkuu kumbe maajabu yanaendelea😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Hahahaaaaaa nilijua nimeshaona yote mkuu kumbe maajabu yanaendelea😁😁😁
Nakuja na m 40,000,0000 mtajiSouth Africa si salama sana kwa wageni,
Sijuwi wanaipendea nn watanzania.
Namibia ipo powa sn kwa fursa yeyote.
Inchi ndogo ila tamu sn.
Uchumi wa South Africa ni mkubwa na fursa huwezi linganisha na Namibia mkuuSouth Africa si salama sana kwa wageni,
Sijuwi wanaipendea nn watanzania.
Namibia ipo powa sn kwa fursa yeyote.
Inchi ndogo ila tamu sn.
dah.--- aisee.Nikajua Panyaroad wamehamia SA dooh pole sana marehemu astarehe kwa amani.,
Pole sana majeruhi, wafiwa, wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na taifa kwa ujumla
Wallailai walailai walai rajun
Bwana alitoa bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
Mwanga wa milele umpe ee bwana
Astarehe kwa Amana..
Hata wazawa wako hatariniSouth Africa si salama sana kwa wageni,
Sijuwi wanaipendea nn watanzania.
Namibia ipo powa sn kwa fursa yeyote.
Inchi ndogo ila tamu sn.