Unajaribu kuconnect dot lakini haiingii aki, kigogo mmoja mwanae kaajirwa kuuza duka
Yaani inasikitisha sana,yaani mtu upo sehemu yako ya biashara lazini kitendo cha kumjibu mteja na mteja akaona umemdharau anakuua kweli,hao majamaa ni wakatili sanaFamilia moja ya Kigogo, Dar es Salaam, inaomboleza kifo cha mtoto wao nchini Afrika Kusini. Ericky Ismael Ngobei, 22, aliuawa kwa kupigwa risasi Alhamisi iliyopita usiku katika eneo la biashara lenye watu wengi baada ya kuzozana na washambuliaji.
Ndugu wa marehemu amesema kuwa shambulio hilo lilitokea mwendo wa saa 11 jioni lakini hakuweza kubainisha ni katika mji gani. Kwa mujibu wa chanzo cha familia, kijana huyo alihamia Afrika Kusini hivi karibuni ambako aliajiriwa kama muuza duka.
Saa 11 jioni siku ya Alhamisi akiwa kazini, marehemu alikabiliwa na watu watatu ambao walitaka kuhudumiwa mara moja. Hata hivyo, Ngobei aliwaambia wawe na subira kwani alikuwa akiwahudumia wateja wengine katika eneo la biashara lililojaa watu.
"Katika ugomvi uliofuata, mmoja wao alichomoa bunduki na kumpiga risasi tumboni na kukimbia," jamaa wa karibu wa familia hiyo alisema. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu inaratibiwa na wanajumuiya ya Watanzania nchini Afrika Kusini.
Apartheid was the only solution huwez kuish na mapimbi kama haya makuburu walikua sahihi 100%View attachment 2363117
Haya majamaa ni makatili sana. Kama maisha ya South yako hivi, bora niendelee kulima viazi mviringo huku Mbeya
Ni movie gan hii mkuu?View attachment 2363117
Haya majamaa ni makatili sana. Kama maisha ya South yako hivi, bora niendelee kulima viazi mviringo huku Mbeya
Kati ya mijitu mijinga nayoiona misoth inaongoza ni watu katili sijawai onaNaskia sauzi mnaweza mkawa mnabishana kati ya Mayele na Phiri Nani mkali,ukimzidi jamaa hoja anatoa chuma
Wewe ndio mshamba unayetaka watu wasitoke kutafuta fursa uko duniani.maisha yako popote na mauaji yako kila mahali ata hapa bongo watu wanauana kila siku.mengine ni ajali tu na maisha lazima yaendelee.Ignorance
Ignorance
Ignorance
Kufuata mkumbo
Kufuata mkumbo
Kufuata mkumbo
Ushamba
Ushamba
Ushamba
Note: ujinga ndio the biggest factor/reason inayowafanya wabongo waamini S.A inamaisha bora zaid yaTz, kama wasouth wangeikimbia hiyo nchi nani angewajengea? Ata mkoloni angeikimbia iyo South baada ya utumwa kuisha nan angeijenga? Resources ziko nyingi lkn wajinga hawaachi kuzikimbia nchi zao,
Elimu ndiyo mkombozi pekee kwa vichwa vya hawa wajinga waliokosa uzalendo
Namibia ni free entry kwa passport ya Tanzania.Kabla ya yote; kama uliwahi kwenda ni vipi utaratibu wa Visa na getini (mnaita border) kwa wageni?.
St Mary's Church windhoekNamibia ni free entry kwa passport ya Tanzania.
Uwe na chanjo tu
Na address uendako.
Vijana gani hao?Hawa vijana tumewasaidia hadi tumechoka , binafsi nimetumia mpaka rasilimali zangu za S .Africa lakini ni kazi bure
Wanaishi Kigogo.Familia ya kigogo mmoja Dar kazi KUUZA DUKA. Sauzi Africa. Mwajiliwa
Familia ya Kigogo wanamaanisha Kigogo eneo ndani ya Dar.Unajaribu kuconnect dot lakini haiingii aki, kigogo mmoja mwanae kaajirwa kuuza duka
Kabisa mkuu,St Mary's Church windhoek
Nlihudhuria ibada hapo
Alafu mkuu unajua vijana wa siku hizi
Waoga sana kutoka
Ova
View attachment 2363866
Hahahaaaaaa nilijua nimeshaona yote mkuu kumbe maajabu yanaendelea😁😁😁Wallailai walailai walai[emoji23][emoji23][emoji23]
1. Chanjo ya covid au yellowNamibia ni free entry kwa passport ya Tanzania.
Uwe na chanjo tu
Na address uendako.