Nikajua Panyaroad wamehamia SA dooh pole sana marehemu astarehe kwa amani.,
Pole sana majeruhi, wafiwa, wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na taifa kwa ujumla
Wallailai walailai walai rajun
Bwana alitoa bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
Mwanga wa milele umpe ee bwana
Astarehe kwa Amana..