TANZIA Mtanzania auawa kwa kuchomwa visu nchini Afrika Kusini

Huyo mtanzania sasa.. laugh [emoji2] hihihihhh

Arooohh.. SA alikuwa anafanya shughuli gani maana tuliosomea Cuba hiyo picha Inatia wasiwasi asee
 
House negroes
 

[emoji12] Toyota discovery 3 teena ila JF mna burudani za kila aina
 
Ni wazi huyu bwana hakua huko kisheria hebu rudini nyumbani msitutilie aibu huko Sasa sura utafikiri mtu yupo Ubungo Durban gani uso umefwafwanzika hivyo si ndio vibaka wenyewe hao ushauri wangu wabongo mjitafakari huko
Bora wabaki hukohuko,huku wakirudi Tanzania wataongeza idadi ya panya road mtaani!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…