adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Hapo wangehusisha na uislamu pamoja na kejeli kwa Mtume Mohammad (Peace and blessing of Allah be upon him) ,sijui wapoje hawa watu ...Angekua kauawa kwenye nchi za Waarabu tungeshuhudia povu la kila aina ya sabuni humu.