KWELI Mtanzania Bara huruhusiwi kuendesha gari Zanzibar bila kuwa na kibali maalum

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina

Mkuu Chachu

Pole sana mkuu, kweli kisu kikali kwa nguruwe.

Unajuwa sisi wazanzibari tukileta bidhaa za biashara huko tanganyika tunalazimika kulipia ushuru? Tunalipa ushuru kama zile bidhaa zimetoka katika nchi ya kigeni.

Muungani gani unaoutaka weye mkuu?

Tanzania gani tunayoishi hii, mbona mchele wa mbea ukija dar haulipiwi ushuru kwa sbabau umetoka mbea na umeletwa Dar?

Huu muungunano ni kiini macho tu. Tafuteni nchi yenu kwanza kabla kujadili muungano zaidi.
 
Asa ninyi ambao mna Nchi yenu mbona kama mwisho hapo nawe umelalamika kuwa mwalipishwa ushuru wa bidhaa zenu huku bara[emoji848]
 
Afukiri Mwamba Mwabukusi ask maliza la DP World kuokota bandarin zetu, tu muwezeshe aka challenge kero zo Muungano katini. Kipengele kimoja at a time.
 
Asa ninyi ambao mna Nchi yenu mbona kama mwisho hapo nawe umelalamika kuwa mwalipishwa ushuru wa bidhaa zenu huku bara[emoji848]

Mkuu Anyisille

Wazazibari tumo katika muungano na tanganyika kwa kulazimishwa tu. kila miaka mitano watanganyika wanaleta mapaka vifaru ili kuhakikisha muungano bandia unabaki. Hakuna mzanzibari yoyote anayetaka muungano. Nyie ni watu wengine na sie ni watu wengine kabisa. hakuna uhusiano wowote baina yetu zaidi ya kwamba niye ni binadamu na sie ni binadamu.
 
Yep lakini sasa mwasubiri nini kujitoa wakati mna njia nyepesi???

Sina hakika kama mwalazimishwa au mnashindwa kwa sababu mna maslahi ambayo huwa mnajifanya hamuyaoni.

Samia Mzenji, Mwinyi Mzenji si ndiyo ilikuwa so simple tena na zile nyimbo zenu za tunataka Nchi yetu zingeshamiri uzuri

Wazenji MNA kaunafiki Fulani Fulani hivi.[emoji23][emoji23]
 
HATUTAKI HUU MUUNGANO hauna faida kwetu
siku tukiamka wanzibar wafurumshwe humu ndiyo siku Muungano utavunjika
tuwatimue humu hakika itakuwa mwisho
hatuwezi kuona tunapitia haya kisa muungano feki usio na lolote kwetu!
Kila mtu arudi kwao
 

Mkuu Anyisille

Marehemu Karume baada ya kushituka, marehemu Jumbe baada y akushituka, na Maalim Seif walijitahidi sana katika harakati za kuitowa zanzibar katika muungano, unaona watanganyika walivoing'ang'ania zanzibar.

Unafiki mkuu, ni mavazi ya wanasiasa, hata huko tanganyika ufukara wenu unatoka na unafiki mkubwa sana wa wanasiasa wenu.

Sisi tunaloomba kwamba nyie watanganyika mudai utaifa wenu, maana mpaka hivi ninavyondika nyie hamuna utaifa wetu. Tanzania si taifa ni muungano. kilichoungana ni nchi inaiyotwa zanzibar na ina serekali yake na nchi ilikuwa haijuilikani duniani. Narejea tena zanzibar imeungana na nchi isiyokuwepo duniani. nyie watanganyika hamuna nchi, mupo mupo munabutuwa burutwa tu na ccm . tafuteni nchi yenu kwanza.
 
Huu muungano watanganyika tunajipendekeza sana Kwa wazenji
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Umeongea madini matupu
 
Foxhound
Mkuu Mimi umenigusa hapa tu
"Mambo yanayohusu kodi (Zanzibar ni nchi)
Mambo yanayohusu maslahi (Zanzibar si nchi)"
 
HATUTAKI HUU MUUNGANO hauna faida kwetu
siku tukiamka wanzibar wafurumshwe humu ndiyo siku Muungano utavunjika
tuwatimue humu hakika itakuwa mwisho
hatuwezi kuona tunapitia haya kisa muungano feki usio na lolote kwetu!
Kila mtu arudi kwao
Siku huu Muungano utakapo vunjika. Hasara itakua kwa wananchi wa Zanzibar wa level ya kawaida.

Maana hakuna fursa watakamata hapa bara. Na waliopo hapa watatimuliwa.

Ndipo akili zitawakaa kua viongozi wao walikua wanawapotosha.

Ni ujinga kung'angania mipaka ilio wekwa na wakoloni inayo ounguza namna ya kujaminaa na majirani.

Ingekua sawa hata kama tungefungya mipaka yote ya EA kukawa na easy movement of people and goods.
 
Pia watuambie leseni ya bara ina title ya Tanganyika au Jamhuri ya muungano wa Tanzania??
 
Pia watuambie leseni ya bara ina title ya Tanganyika au Jamhuri ya muungano wa Tanzania??
Swali zuri unajua mengine si kikanuni ni kufanyiana uhaini me nna lessen yangu ya Nje ya TANZANIA na huwa nitumia Tanzania how zenji na DL ya JMT?
 
Sasa kuambiwa we wa bara kumekuumiza nn aisee?
Mbona watu hmna hoja thabiti

Mm nimekaa sana tu bara mbona naona kawaida tu wakiniita mpemba

Mbona uko kwenu mnabaguana kwa makabila!

Unaongea nonsense kabisaaa
 
Nikuulize kwani leseni ya Zanzibar inaruhusiwa bara?

Mda mwingine mlete hoja zenye mantiki sio upumbavu kama huu

Foolish kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…