KWELI Mtanzania Bara huruhusiwi kuendesha gari Zanzibar bila kuwa na kibali maalum

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Wanzanzibari wasiotaka muungano ni wale masikini, vijana wa vijiweni

Ila 80% ya wanzanzibari waliopo bara hawataki kurudi kwao, wakafanye nini?? Wanaajiriwa bure, wanamiliki mashamba, biashara etc etc

Wanadanganywa Zanzibar itakua kama Dubai, wajiulize Shelisheli, Madagascar wamekua kama Dubai??

Uislam wa mtu mweusi hautajirishi bali unaongeza umaskini tu
 
Sasa kuambiwa we wa bara kumekuumiza nn aisee?
Mbona watu hmna hoja thabiti

Mm nimekaa sana tu bara mbona naona kawaida tu wakiniita mpemba

Mbona uko kwenu mnabaguana kwa makabila!

Unaongea nonsense kabisaaa

Normalize reading between the lines big man. Ubaguzi na matabaka huanzia kwenye majina watu wanayoitana na ndio maana majina kama gringo, nigga, mzungu na mengineyo yanaweza kuwa yanayotumika kuashiria uhalisia wa ethnicity ya mhusika ila huchukuliwa kama offensive yakitumika in most cases.

Kwetu Tanzania tuna makabila zaidi ya 126 na kwakua nchi yetu ndio home of pan-africanism, wala hatuoni noma kutaniana na kuitana "we mpemba, we msukuma, we muha" na kadhalika kwakua tumefundishwa utani na hivyo hatuchukulii uzito kama maeneo mengine ya dunia. Hata hivyo, name-calling has never been ideal anywhere in the world kwakua inapandikiza chembe chembe za migawanyiko na ubaguzi.

Wewe umeona tu kuitwa "mtu wa bara" hilo la "waDanganyika" hujaliona eti eeh? MUUNGANO HUU HAUNA USAWA NA MTU YOYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAHITAJI MIWANI KUONA HILI.
 
Huu ni muungano wa kipuuzi na wa kipekee kabisa hapa duniani. Na cha kushangaza maCCM bado yanaungangania kwa sababu finyu za kisiasa. Haya majamaa ni mapuuzi sana.
 
Huu muungano hata Mangungo angeukataa sijui Nyerere kwa nini aliwadekwza sana hawa wazanzibar
Nyerere hakuwa mtu smart kivile kama tunavyoaminishwa, ukitaka kujua hilo tazama watoto wake kama wana maajabu kiakili pamoja na privileges walizopata kwenye elimu na malezi yao. Baba yao kawa kiongozi kwa umri mdogo tu na exposure alikuwa nayo sio kusema aliwapatia ukubwani.
 
Walinda AMANI wa TANZANIA YETU PENDWA wakati mwingine tunawasema humu vibaya (sababu ya mambo ya hovyo ya wanasiasa wetu) mtusamehe

Ila msije mkaacha KUIKALIA ZANZIBARI, nawahakikishia siku mkiondoka itakua KITOVU CHA UGAIDI na JIHAD.
 

Mkuu Mo

Mie nadhani una underestimate zanzibar na wazanzibari. Kumbuka sisi tulikuwa empire. once empire forever empire. Tuliitawala afrika mashariki yote. Zanzibar ni kama mti ulokatwa tu, shina lipo, pakipatika huduma zitakiwazo mti unachipua tena.

Zanzibar haifaidiki na chochote na tanganyika. na zaidi ya hapo Watanganyika hamutuwawezi wanzanzibari sababu kubwa ni hizi:

1. Sie wazanzibar tuna damu ya kutawala, wazanzibari ni colonialists by nature
nyie watanganyika muna damu ya kutawaliwa. Watanganyika ni subjects by nature.

wazanzibari ni waarabu, waarabu walioko aurabuni wataweza kufika zanzibar na kuitumilia fursa ya kibiashara iliopo na kujenga uchumi, ikiwa unajuwa mambo ya geographical economy unajuwa zanizbar ipo katika "very strategic location economically". Yaani zanzibar ipo katika eneo la aflrika kwa nje ya bara. fursa kubwa ni kwaba waafrika wote wamelala dororo. Kwahivyo export za viwada vya zanzibar zitaeleka africa nzima.

Watanganyika mutabaikisha na udini wenu huku mukiitajirisha serikali ya zanzibar.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
hilarious.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
hilarious.

Sawa Mkuu

Ukiwa sio katika wale deep thinkers, unaweza kudhani ubora wa nchi ni idadi ya watu au ukubwa wa ardhi yake.
 
Watu wa visiwani kinachowakwamisha ni kaunafiki Tu, na huu Mungano si kweli kwamba hamuupendi mwasema msichokiishi na kuishi msichosema.

Hiyo Ngoma na mduara wenu wa hatuutaki Muungano ukipigwa sasa wala hakuna wa kuwabishia Ila mmefyata kwa sababu mnazozijua
 
Huu muungano ni wa kipuuz sna
 
Sikulaimu mkuu

Watanganyika vichwa vyenu vimekufa zamani. Nyie sio watu wa ufahamu. Wala hamuwezi kufahamu. Poleni sana
Hapa ndipo napata shida Sana kuelewa hii slogani ya Wazenji kujisifu Kimaarifa then kutwa Kucha wakilia kuwa Yule aso na maarifa Mtanganyika amewakalia

Can you please be open inahere!
 

First off, Zanzibar haijawahi kuwa empire mkuu ilikua ni sultanate. Na kuhusu kauli yako ya "once an empire, forever an empire", ziko wapi Ottoman, Mongolian, Shongai na empire zinginezo leo hii?

Kingine, Zanzibar haijawahi kuitawala Afrika Mashariki yote bali pwani yake tu na hii haikuwa kwa muda mrefu na wala haikuwa kimabavu bali ni kiuchumi.

Eti "Zanzibar haifaidiki chochote na Tanganyika"πŸ˜‚ hata malaika wanakucheka huko waliko. Umeme mnatoa wapi? Mnakuja huku mnanunua mashamba na viwanja na mnajenga makazi yenu kwa amani tu, hii sio faida? Faida ni nyingi kiasi kwamba muda wa kuainisha yote hapa sina.

Hili suala la waZanzibari kuwa colonialists na kuwa waArabuπŸ˜‚ naomba nijibu kwa kucheka tu.
 
Pole Mleta mada kwa kuchelewa kujua hili.
Suala la kununua kibali cha udereva kwa watanganyika/foreigners wanaotaka kuendesha gari Zenji lipo miaka mingi sana mara ya kwanza nakutana nalo Zenji ilikuwa 2008.

Muungano wa kisiasa na kichawa tu hakuna kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…