KWELI Mtanzania Bara huruhusiwi kuendesha gari Zanzibar bila kuwa na kibali maalum

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Poa ndiyo shida ya Watoto wa kikeni huwa mnasumbua Sana dada walituletea shida kwa kuzaa na wageni
 
Poa ndiyo shida ya Watoto wa kikeni huwa mnasumbua Sana dada walituletea shida kwa kuzaa na wageni
Na hawa watoto wa mapadri huku mitaani ndiyo hutupa shida , lakini tunajitajidi kuwaweka sawa
 
Ohooo!😂 kashakuja zezeta mwingine. At least alietoka alikua sio roporopo kama wewe. Lakini usiwe na wasiwasi mkuu kwakua muda ninao hivyo nitakuelewesha na utaelewa.

Haya afande Rama, tueleze unachotaka kujua tukujuze.
Mambo yenyewe mumekuwa wafuasi wa kanisa la Nabii Tito, ni kuwapiga bei tu
 
Mambo yenyewe mumekuwa wafuasi wa kanisa la Nabii Tito, ni kuwapiga bei tu

Hata haueleweki unaongea nini. Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo. HAUNA AKILI NDUGU YANGU.
 
Review ifanyike

Hakuna review ni huu uvamizi uitwao muungano uishe , kila nchi iende kivyake tuwe na uhusiano mwema tu , muungano ni kudanganyana kwani Wazanzibari kamwe hawawezi kusahau nndugu na wazee wao waliouliwa na uvamizi wa Nyerere na kuchukuliwa nchi yao.

Tutakaa hivyo hivyo pamoja lakini moyoni kila mtu yuko kivyake , UNAFIKI MTUPU
 

Naomba kumsaidia kujibu swali lako.
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania kwa baadhi ya mambo, lakini si sehemu ya Tanzania kwa baadhi ya mambo likiwemo hili la usafirishaji.
Kwenye hili Zanzibar inabaki kua Zanzibar.
 
Muungano wa kipumbavu sana huu.Ndo maaana hata Bandari wanauza kwa sababu wanajua hawana faida nazo
 
Huu muungano hata Mangungo angeukataa sijui Nyerere kwa nini aliwadekeza sana hawa wazanzibar
Alafu walivyouwa wanjanja wa Zanzibar. Serikali yao imesha sign mikataba na ushirikiano wenye sekta za madini za bara. Yaani wameshawahi kujiingiza kwenye keki hata kama muungano ukivunjika. Nomaa sanaa.! Sijui watanganyika na sisi tumeenda zanzibar ku sign kitu gani in return.
Tumelala sanaa wa bara..!
 
Usiamini sana haya Mambo ya mtandaoni, mi nimefanya kazi sana, zenj, ofc zetu zipo pale michenzani mall, nimezunguka zenj, vijijini(wanaita shamba), uroa, pongwe,nimeendesha, gari sana, na kila nikisimamishwa, naonyesha leseni yangu ya bara,tunaishia kupeana asalaaam ALEIKUM, nasepa,sikuwahi kuoana hiyo shida, kuna mwenzangu shughuri zake zote anafsnyia zenj, ameoa kule, amejenga, na kampuni yake ya ukandarasi, inapewa tender sana, ni mkristo, lakini kwenye cycle za, waislamwanamkubali sana,
Tatizo wa bongo wengi, hupenda kuleta swaga za bara, zenj, wa zenj hawapendi kupelekwa pelekwa,
Wao saa 11 wamefunga maduka! Ijumaa, wakitoka kazini,hakuna kupika, ni kwenda kula biriani cafe.
Gari nimekodisha kwa kuacha kadi au passport tu,
Nimesafirisha majenereta ya thamani kubwa kwa kumpa mtu tu bila maandishi, na mzigo unafika vzr,
Tuache hizi chuki zinazopigiwa kelele na wanasiasa, wananchi wa kawaida wa zenj, na bara tunashirikiana sana,
 

Watu wa kawaida hata kabla ya Uvamizi wanashirikiana katika mambo ya jamii wala Hakuna matatizo yoyote. Matatizo yameletwa na Nyerere baada ya kuvamia na kuuwa watu kwa maelfu , na kila uchaguzi unapokuja kuuliwa watu.
 
Zanzibar wana vijisheria vya kishenzz shenzz sana
 
Kuna jamaa yangu anafanya kazi huko, hata wasichana hawamtaki sababu yeye ni mtu wa bara. Huwa anampakia kwenye boti msichana wake kutoka bara kila weekend ili apumzike.
 
Au zenji wanaendesha magari juu ya maji? 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…