Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Wafuasi wa Rais

Senior Member
Joined
May 31, 2023
Posts
151
Reaction score
147
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.

Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.

Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).

Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.

Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.

Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.

Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.

Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:


  • Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Note:

Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.

Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.

- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -
 
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.

Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.

Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).

Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.

Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.

Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.

Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.

Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:


  • Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Note:

Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.

Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.

- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -

..mwanamke ambaye ameshinda ubunge jimboni kupitia chama cha upinzani ana ujasiri na uwezo wa kiuongozi na kisiasa kuliko Mama Abdul.

Cc Nguruvi3
 
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.

Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.

Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).

Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.

Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.

Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.

Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.

Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:


  • Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Note:

Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.

Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.

- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -
Mbona rekodi ya msafara siioni hapo
 
wenzako wana ndevu we umeweka akili zako kidevuni
Screenshot 2024-07-26 090436.png
 
..mwanamke ambaye ameshinda ubunge jimboni kupitia chama cha upinzani ana ujasiri na uwezo wa kiuongozi na kisiasa kuliko Mama Abdul.

Cc Nguruvi3
Punguzeni kuropoka.

Tangu march 2021 mpaka Leo July 2024 nchi imetulia na mambo yanaendelea vizuri .

Umeshiba zako magimbi unapayuka tu Kwa sababu ya kukosa malezi .

Nafasi ya urais ni ngumu kuliko mnavyofikiria.
 
Back
Top Bottom