Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni chizi fulani halitaki kazi linasifia ililipige mizinga townAu ana D mbili huyo😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chizi fulani halitaki kazi linasifia ililipige mizinga townAu ana D mbili huyo😂😂😂
Unasaidia nini kwa ujinga huu?Kumsaidia Rais kwa ajili ya watu kama wewe ni akili kubwa sana
Nchi zao ni Developed countries....mifumo ya ulinzi kwao ni mikubwa sana ukilinganisha na sisi Afrikawe huna akili akina Putin na Netanyahu na utajiri wote hawana hiyo misafara kwa hiyo heshima ni kuwa na msafara mrefu?
Sasa kazi ya mikopo si Italipwa na Watanzania wote?Umewahi kupata huduma ya SGR DSM to Dom ama DSM to Moro?
Au kuna ndugu yako yeyote kawahi kupata? au hata rafiki yako?
Hio ni kazi mojawapo ya mikopo
Njoo mitaani. Rais anashinda tena mwaka ujao. Mitano tena. We endelea na porojo mitandaoni.Unasaidia nini kwa ujinga huu?
Ulitaka nani alipe? Anayependa SGR ni nani km sio mtanzaniaSasa kazi ya mikopo si Italipwa na Watanzania wote?
Kamwambie mumeo hayo manenoNjoo mitaani. Rais anashinda tena mwaka ujao. Mitano tena. We endelea na porojo mitandaoni.
Mwendo wa matusi tu. Huna hoja.Kamwambie mumeo hayo maneno
Mpuuzi mkubwa wewe huna loloteMwendo wa matusi tu. Huna hoja.
Utaratibu wa michakato kaweka nani? - katiba ya nchi. Utaratibu wa makamu kuwa Rais kaweka nani? - katiba ya nchi.
Tatizo lipo wapi?
AKILI UNA JARIBU KUTUMIA MAP-----CCM --------UMBUUlitaka nani alipe? Anayependa SGR ni nani km sio mtanzania
Mwendo wa matusi tu. Huna hojaKamwambie mumeo hayo maneno
Mbona hamna tabu. Cha muhimu Rais anazidi kusaidia Taifa bila kujali ushubwada wa watu kama weweNi chizi fulani halitaki kazi linasifia ililipige mizinga town
We mwenye akili jaribu kuwa Rais
Kwani umetuona tunaandika kama wewe Harafu habari njema kuna hospitali inatoa huduma ya kupima vinasaba vya uchawa tafadhari wahi kapimeWenye A mnashindwa ujanja na wenye D mbili? Basi kuna tatizo sehemu
Basi wapinzani wote wawe CCM km kuwa upinzani hakuna maana yeyote ya kufikia wanakotamani...Uzanzibari umembeba.
..ukiwa Mtanganyika hata uwe na PhD ni shida kufika hapo alipofikia.
..Waulize Prof.Tibaijuka, na Dr.Migiro ambao wamesema kwelikweli wameishia wapi.
..kuwa CCM nako kumembeba.
..Mama Abduli angekuwa mpinzani na Mtanganyika hata udiwani asingepata.
Kama mnajidanganya endeleeni.
2025 pamanieni nafasi nyingine lakin Samia muacheni Kama alivyo maana hata kumtikisa hamtaweza
Kwani hapa kwetu kuna tishio gani la usalama, hadi atumie gharama kubwa za kujilinda?Nchi zao ni Developed countries....mifumo ya ulinzi kwao ni mikubwa sana ukilinganisha na sisi Afrika
Sasa kupima vinasaba vinasaidia kweli kufikia ndoto za kutawala nchi? SidhaniKwani umetuona tunaandika kama wewe Harafu habari njema kuna hospitali inatoa huduma ya kupima vinasaba vya uchawa tafadhari wahi kapime
Mwanamke mwenzio Lucas kakimbia wewe utaweza?Mwendo wa matusi tu. Huna hoja
Mbona hamna tabu. Cha muhimu Rais anazidi kusaidia Taifa bila kujali ushubwada wa watu kama wewe
Protokali ya ulinzi wa Rais imeona hivyo. Unawabishia kama nani? Unafahamu details zozote za ki ulinz wa mtu kama Rais?Kwani hapa kwetu kuna tishio gani la usalama, hadi atumie gharama kubwa za kujilinda?
Hakubaliki🔨🔨