Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Utaratibu wa michakato kaweka nani? - katiba ya nchi. Utaratibu wa makamu kuwa Rais kaweka nani? - katiba ya nchi.

Tatizo lipo wapi?

..Uzanzibari umembeba.

..ukiwa Mtanganyika hata uwe na PhD ni shida kufika hapo alipofikia.

..Waulize Prof.Tibaijuka, na Dr.Migiro ambao wamesema kwelikweli wameishia wapi.

..kuwa CCM nako kumembeba.

..Mama Abduli angekuwa mpinzani na Mtanganyika hata udiwani asingepata.
 
  • Thanks
Reactions: I M
Ulitaka nani alipe? Anayependa SGR ni nani km sio mtanzania
AKILI UNA JARIBU KUTUMIA MAP-----CCM --------UMBU

Screenshot 2024-07-26 172846.png
 
..Uzanzibari umembeba.

..ukiwa Mtanganyika hata uwe na PhD ni shida kufika hapo alipofikia.

..Waulize Prof.Tibaijuka, na Dr.Migiro ambao wamesema kwelikweli wameishia wapi.

..kuwa CCM nako kumembeba.

..Mama Abduli angekuwa mpinzani na Mtanganyika hata udiwani asingepata.
Basi wapinzani wote wawe CCM km kuwa upinzani hakuna maana yeyote ya kufikia wanakotamani.
 
Kama mnajidanganya endeleeni.

2025 pamanieni nafasi nyingine lakin Samia muacheni Kama alivyo maana hata kumtikisa hamtaweza

..unasema hivyo kwasababu unajua DOLA iko nyuma yake.

..lakini nakuhakikishia atakuwa mgombea asiyeweza kujenga hoja, na kushawishi, kuliko wagombea wenzake.
 
Nchi zao ni Developed countries....mifumo ya ulinzi kwao ni mikubwa sana ukilinganisha na sisi Afrika
Kwani hapa kwetu kuna tishio gani la usalama, hadi atumie gharama kubwa za kujilinda?

Hakubaliki🔨🔨
 
Kwani umetuona tunaandika kama wewe Harafu habari njema kuna hospitali inatoa huduma ya kupima vinasaba vya uchawa tafadhari wahi kapime
Sasa kupima vinasaba vinasaidia kweli kufikia ndoto za kutawala nchi? Sidhani
 
Kwani hapa kwetu kuna tishio gani la usalama, hadi atumie gharama kubwa za kujilinda?

Hakubaliki🔨🔨
Protokali ya ulinzi wa Rais imeona hivyo. Unawabishia kama nani? Unafahamu details zozote za ki ulinz wa mtu kama Rais?
 
Back
Top Bottom