Wafuasi wa Rais
Senior Member
- May 31, 2023
- 151
- 147
- Thread starter
- #81
Endelea kumuamini Rais wako kila iitwayo leo. Atakufikisha.Kwa mwenendo wako je utakufikisha ? Harafu hivi raisi alirithi au alikaimu madaraka ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kumuamini Rais wako kila iitwayo leo. Atakufikisha.Kwa mwenendo wako je utakufikisha ? Harafu hivi raisi alirithi au alikaimu madaraka ?
Shukrani sana. Nimekupata sawiaumesema tuongezee rekodi zake, nami nmekuongezea rekodi yake nyingine kuwa "ni mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa CCM"
Kwani hii siyo sifa yake pia?
kama ni sifa yake pia rudi kwenye bandiko lako hapo juu uiongeze.
Samahani unazungumzia taifa gani kwanza ?Mwendo wa matusi tu. Huna hoja
Mbona hamna tabu. Cha muhimu Rais anazidi kusaidia Taifa bila kujali ushubwada wa watu kama wewe
URTSamahani unazungumzia taifa gani kwanza ?
Kichwa changu kinamkanaEndelea kumuamini Rais wako kila iitwayo leo. Atakufikisha.
vipi naruhusiwa kuendelea kuongeza sifa/rekodi zake nyingine?Shukrani sana. Nimekupata sawia
Rais ni lango la Taifa lako. Hupitisha baraka ama laana. Ukimkana maana yake umekana lango la nchi yako. Guess what next?Kichwa changu kinamkana
Kumbe !!!mimi nipo united republic of Tanzania wewe upo URT ndio maana huelewi somo 😂😂😂
Karibu. Ila isiwe kwa kejeli.vipi naruhusiwa kuendelea kuongeza sifa/rekodi zake nyingine?
..ningemsifia Samia Suluhu kama Uraisi angeupata kupitia kura za maoni na michakato kama waliyopitia watangulizi wake.
Dah....Kumbe !!!mimi nipo united republic of Tanzania wewe upo URT ndio maana huelewi somo 😂😂😂
Hahahahah. Haibi mtu. AnashindaUnamsubiria akiiba Uchaguzi mwakani ama ....!!?
Records baada ya Rais wa wanna hi kufariki?Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.
Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).
Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.
Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.
Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.
Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.
Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.
Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:
- Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
Note:
Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.
Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.
- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -
Mamlaka zinashughulikia. Usiwe na wasiwasi.
Mamlaka gani chawa??Mamlaka zinashughulikia. Usiwe na wasiwasi.
Hii je??Mamlaka zinashughulikia. Usiwe na wasiwasi.
Mamlaka husika
Relax. Kila kitu kitakaa sawa. Ondoa hofuMamlaka gani chawa??
Yaani March hadi July unashughulikia kitu kilichokuwa tabled with evidence?
I'm not boarding .