Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Wewe kama huwezi saidia watu uko sahii sababu hujalazimishwa sasa usiumie watu wengine wakiamua kusaidia watuWapi nimepinga asisaidiwe?
Uchawi hauvuki bahariMasikini dada wa watu isije kuwa watu wa kijijini kwao wamemroga.
Mungu amfanyie wepesi.
Wewe punguwani kwa hiyo mtu akipata nafasi ya kusoma nje asiende ili akufurahishe wewe masikiniTunaobakia Tanzania na kupambana na Hali zetu ( Shida ) huku tukisoma katika Vyuo Vikuu vyetu na Kula Maharage, Tembele na Dagaa huwa tunachekwa na kudharaulika mno na wale ambao huona Ulaya / Marekani ndiyo Pepo na Suluhu yao ya Maisha na Taaluma. Kudadadeki apambane na hali yake kama nasi tunavyopambana na hali zetu huku Madongo Kuinama Afrika.
Kweli HAKUNA. Cjui ni kwa nini Wanakuzushia.Wapi nimepinga asisaidiwe?
Una ujuaji wa kijinga.Kwenye nchi isiyofuata utaratibu wa medical intervention unaweza ona kilichofanywa sawa.
Huko anakoishi huyo dada akipata hizi habari na kum-report polisi jamaa anaweza kuwa na shida ni violation of her rights and privacy, pamoja na kumuondelea dignity and respect. Mambo ambayo uruhusiwi kufanya kwa mgonjwa, let alone kwa mtu mwenye akili zake timamu kama huyo dada.
Unacheza wewe, mimi niligombana na dada yangu wa-tumbo moja halafu makaratasi yenyewe kupata ilikuwa kupitia kesi yake.Mkuu; Niwajuavyo watanzania kwa kawaida wawapo nje ya nchi yetu(nina experiance ya 1yr in Denmark) wanaushirikiano sana. Sasa iweje huyo dada ameachwa bila msaada?
Mtoa dokezo amefanya (kama kweli unadhani ni udhalilishaji) kwa nia njema kabisa. Iko hv; yan kama mtu amekuwepo katika hali hiyo ya Ugonjwa (uchizi)kwa muda mrefu na hakuna anayejali ukizingatia Taratibu nyingi - rigorous and tedious activity in filling the Required Forms, angelifanyaje na roho inamuuma kwamba yan mTz mwenzangu anaendelea kutaabika kana kwamba hakuna waTz huku na hakuna anayemwona? Kama wapo na wanamwona ina maana wameridhika?
Mkuu kumbuka maradhi ya Akili huwa yana complications nyingi. Huku bongo tunasemaga mwezi mchanga, mwezi mpevu n.k. Ni mojawapo ya matatizo ya Akili na yanahusishwa na mambo mengi pia Biological na non biological.
Ni hoja ndefu tuache nafasi pia na wenzetu waweze kuchangia.
Nina experienceUna ujuaji wa kijinga.
Naam mkuuPoor brain
Utakuwa uzoefu wa Ujuaji.Nina experience
Balozi za kwetu ni za kipumbavu sana. Hazina msaada hata chembe kwa watanzania wenzao wenye shida. Mtu katoa taarifa na ameelekezwa jimbo alipo. Wanashindwa kutrack hadi wampate na kumrjesha nyumbani. Hawa watu ni qumer sijawahi kuona.Maisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
πππππππ Ndo unachokiwaza na komwe hilo πππ
No comment
Wee jamaa akili chache ππππBora hata ungeilipia hiyo huruma kuliko kuiona bure.
Safi. Ufahamu kuwa siyo kosa kumrekodi mtu mtaani. Ukishatoka kwako hauna haki ya kudai privacy kisheria. Unaweza kupigwa picha na kuchukuliwa video.No comment
Huna akili,sasa ulitaka asimtangaze?ukute nawe umeshiriki kumroga huyoSasa si ndo wee umsaidie hapo kwa kumuhifadhi na nk, huku ukisubiri ndugu zake wajitokezee.
Kumuacha ahangaike na huku unamtangaza, si unamchoresha tyuu.
Mtu anakwambia sitaki niache kwanini ulazimishe kumrekodi na kumpa msaada ambao hana shida nao?Safi. Ufahamu kuwa siyo kosa kumrekodi mtu mtaani. Ukishatoka kwako hauna haki ya kudai privacy kisheria. Unaweza kupigwa picha na kuchukuliwa video.
Shwari mkuu?Naam mkuu