Mkuu; Niwajuavyo watanzania kwa kawaida wawapo nje ya nchi yetu(nina experiance ya 1yr in Denmark) wanaushirikiano sana. Sasa iweje huyo dada ameachwa bila msaada?
Mtoa dokezo amefanya (kama kweli unadhani ni udhalilishaji) kwa nia njema kabisa. Iko hv; yan kama mtu amekuwepo katika hali hiyo ya Ugonjwa (uchizi)kwa muda mrefu na hakuna anayejali ukizingatia Taratibu nyingi - rigorous and tedious activity in filling the Required Forms, angelifanyaje na roho inamuuma kwamba yan mTz mwenzangu anaendelea kutaabika kana kwamba hakuna waTz huku na hakuna anayemwona? Kama wapo na wanamwona ina maana wameridhika?
Mkuu kumbuka maradhi ya Akili huwa yana complications nyingi. Huku bongo tunasemaga mwezi mchanga, mwezi mpevu n.k. Ni mojawapo ya matatizo ya Akili na yanahusishwa na mambo mengi pia Biological na non biological.
Ni hoja ndefu tuache nafasi pia na wenzetu waweze kuchangia.