DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tunaobakia Tanzania na kupambana na Hali zetu ( Shida ) huku tukisoma katika Vyuo Vikuu vyetu na Kula Maharage, Tembele na Dagaa huwa tunachekwa na kudharaulika mno na wale ambao huona Ulaya / Marekani ndiyo Pepo na Suluhu yao ya Maisha na Taaluma. Kudadadeki apambane na hali yake kama nasi tunavyopambana na hali zetu huku Madongo Kuinama Afrika.
Wewe punguwani kwa hiyo mtu akipata nafasi ya kusoma nje asiende ili akufurahishe wewe masikini
 
Kwenye nchi isiyofuata utaratibu wa medical intervention unaweza ona kilichofanywa sawa.

Huko anakoishi huyo dada akipata hizi habari na kum-report polisi jamaa anaweza kuwa na shida ni violation of her rights and privacy, pamoja na kumuondelea dignity and respect. Mambo ambayo uruhusiwi kufanya kwa mgonjwa, let alone kwa mtu mwenye akili zake timamu kama huyo dada.
Una ujuaji wa kijinga.
 
Mkuu; Niwajuavyo watanzania kwa kawaida wawapo nje ya nchi yetu(nina experiance ya 1yr in Denmark) wanaushirikiano sana. Sasa iweje huyo dada ameachwa bila msaada?
Mtoa dokezo amefanya (kama kweli unadhani ni udhalilishaji) kwa nia njema kabisa. Iko hv; yan kama mtu amekuwepo katika hali hiyo ya Ugonjwa (uchizi)kwa muda mrefu na hakuna anayejali ukizingatia Taratibu nyingi - rigorous and tedious activity in filling the Required Forms, angelifanyaje na roho inamuuma kwamba yan mTz mwenzangu anaendelea kutaabika kana kwamba hakuna waTz huku na hakuna anayemwona? Kama wapo na wanamwona ina maana wameridhika?
Mkuu kumbuka maradhi ya Akili huwa yana complications nyingi. Huku bongo tunasemaga mwezi mchanga, mwezi mpevu n.k. Ni mojawapo ya matatizo ya Akili na yanahusishwa na mambo mengi pia Biological na non biological.
Ni hoja ndefu tuache nafasi pia na wenzetu waweze kuchangia.
Unacheza wewe, mimi niligombana na dada yangu wa-tumbo moja halafu makaratasi yenyewe kupata ilikuwa kupitia kesi yake.

Halafu familia inaniambia niombe msamaha yaishe, I don’t roll like that if you are wrong bora ni bebe consequences za maamuzi yangu lakini uwezi nikosea halafu niombe msamaha kisa makaratasi na kwenye kesi yake akanitoa.

Huo mziki uliofuata naujua mimi tu nilitokaje hadi kupata makaratasi huyo Jane mkubwa mimi ndio kwanza nilikuwa early 20’s, maza nae ndio ghafla mauti (angekuwepo pangechimbika). Nina mifano na story nyingi sana zangu na washkaji zangu miaka hiyo ya changamoto zetu.

Ndio maana sijapenda alivyo mrekodi huyo dada at her worst, vulnerable, without friend and family support. That’s just humiliation.
 
Maisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini

Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.

Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Balozi za kwetu ni za kipumbavu sana. Hazina msaada hata chembe kwa watanzania wenzao wenye shida. Mtu katoa taarifa na ameelekezwa jimbo alipo. Wanashindwa kutrack hadi wampate na kumrjesha nyumbani. Hawa watu ni qumer sijawahi kuona.
 
Sasa si ndo wee umsaidie hapo kwa kumuhifadhi na nk, huku ukisubiri ndugu zake wajitokezee.

Kumuacha ahangaike na huku unamtangaza, si unamchoresha tyuu.
Huna akili,sasa ulitaka asimtangaze?ukute nawe umeshiriki kumroga huyo
 
Safi. Ufahamu kuwa siyo kosa kumrekodi mtu mtaani. Ukishatoka kwako hauna haki ya kudai privacy kisheria. Unaweza kupigwa picha na kuchukuliwa video.
Mtu anakwambia sitaki niache kwanini ulazimishe kumrekodi na kumpa msaada ambao hana shida nao?

Halafu unatoka hapo unaenda rusha maudhui mitandaoni na kumwita chizi? Hakuna tafsiri nyingine ya hiyo act zaidi ya udhalilishaji.

Give a dog a bad name and hang him. Ndio nilichokiona hapo.
 
Back
Top Bottom