Mtanzania Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi

They don't need food? Who finances them?🤷🏿‍♂️
Who knows? ... Even Americans are my suspects! .... they always need a false flag operation (or a number of them), ... especially now when they terribly need to engage ECOWAS ...!
 
Yapi yataje? Unayafahamu kwanza? Unajua yanavyo operate? Unajua kuwa yapo tofauti? Roporopo
nyie si ma freemasons na tunajua huko pesa ni kitu cha kawaida ?
 
Ni kikundi cha kiislamu mkuu, ransom wanataka sababu ni kanuni ya kidini na pia lazima wale na wanunue silaha nk
Kanuni ya kidini kuteka watu na kudai ransom? Nafikiri fidia inadaiwa kwa mateka wa kivita tu
 
nyie si ma freemasons na tunajua huko pesa ni kitu cha kawaida ?
Unaweza ku prove huo uhusiano au ni nadharia ambayo ina sound vizuri masikioni? Ukweli huwa una humble wajinga.
 
Umeelezea vizuri,waislamu pia wanatekwa na kuuliwa na hayo.magenge.Magaidi wapo wa kwa mgongo wa dini zote na wasiokuwa na dini.
 
.Huyu katekwa na watu wa karibu yake.Mtu wa mbali hawezi kujua habari zako.
 
Unaweza ku prove huo uhusiano au ni nadharia ambayo ina sound vizuri masikioni? Ukweli huwa una humble wajinga.
labda wewe hauishi duniani ndio maana unauliza maswali ya kijinga
 
Kama kweli hiyo dini n ya kweli basi huyo mungo wake amtete sio kuleta brabra,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…