Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Ushaingia kwenye maadui zako waislaam pengine wala sio mbongo huyo,ni urahisi wa pass ya kusafilia tu...kuna wandi na wa Congo kibao kwa sasa wanaenda Canada kwa mikwaju ya kibongo nyinyi kalieni udini tu.
Hivi huo udini mmeuona wapi nyie?,mimi nimekazia tu jina la muhusika ila nyie naona mnalazimisha udini
 
YAAN BORA ANGEBAKI NA MAFAO ATUMIE NA VICHENCHEDE VYETÙ ONA SASAA
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-102823_Facebook.jpg
    487.1 KB · Views: 2
Huyo wa Migo Migo ndiye nani? Maana codes zetu zimeshindwa kufungua
 
Hajatushida maarifa bali katushinda ujasiri,kufanya jambo lolote la ajabu ajabu inataka ujasiri
ila ujasiri kama huo sisi hatuna kazi yetu kuiLaumu serikali tuu... tena mtandaoni kwa ID fake... ila kwenda kuwaface uso kwa uso ujasiri hatuna
 
du!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…