Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Bongo yanabaki mashudu ya Tshillings mzigo wa maana unaenda kwenye rand na kwa wanaofahamu ukiwa cut zaidi ya asilimia 78 hawachukui wanakuchukua wewe.Mchana nwema Kaka Mrangi.
Wenyewe wataalam wanaichoma
Mpk kipimo chao kitoe 1/2/1 😄
Jiwe ligandeee...
Na mara nyingi hiyo ya pel-- huku
Wanachanganya na powder ya lactose.....
Ile ya kutoka kwa madevu wanachanganya na Ashton
Na hizo dawa zote zinapatikana kwenye mapharmacy

Ova
 
Bongo yanabaki mashudu ya Tshillings mzigo wa maana unaenda kwenye Rand na kwa wanaofahamu ukiwa cut zaidi ya asilimia 78 hawachukui wanakuchukua wewe.Mchana nwema Kaka Mrangi.
Hii kazi risk sana,maana mmezaji anapomeza lazima s sniff wenyeww wanakuambia kukata mavi,yaani choo kisimsumbue wkt yuko safarini
Haya wakati anameza mfano kg1 hiyo hamezi kwa siku moja ujue wengine inaweza mchukua mpaka siku 3,4
Kuna wakati inabidi azungushe,yaani zinatoka alafu anameza tena kuzirudishiaaa 😄
Mkuu watu wanapata pesa kwa shida sana
Haya tena mtu huyo aliyemeza mfano anapitia nchi fulani ambayo ni weak kiusalama yeye anashuka hapo anakunya mzigo
Anakuja mtu mwingine(kihongwe)huyo anameza anamaliza safari haha
Yaani mtu anameza uchafu wa mwenzake mambo ya pesa hayooo

Ova
 
Kweli ndugu nilikuwa simjui......na nilikuwa nadhani pale alipokuwa anakaa ni nyumbani kwake....kwa maana ya nyumba yake
 
Umesahau kupanuliwa njia ili mzigo upite vizuri
 
Mkuu siku akitoka naomba uweke uzi halafu uni-tag
Na huwezi kuona naandika uzi kuhusu hawa jamaa. Ila kama mfatiliaji wewe mwenyewe utajua.
Nina taarifa ya hiyo issue, na nazijua issue nyingi ziinazotokea kwenye interchange hiyo, Mungu si athumani nazifahamu.
NB; Ya ngoswe muachie ngoswe
 
Ndio ushauri wa Pdidy huu
 
Haikuwa zari!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…