Mtawala Saudi Arabia Mohammed Bin Salman alivunjika moyo kujua wazi hatamuoa binti wa mfalme wa Dubai

Kwa Taarifa yako asingekuja kutafuta watumwa Afrika hata hiyo unayoiita " dini yangu" Sasa hivi ungeisikia redioni
Kwa taarifa yako hata hao waarabu walikua na dini zao za kijinga kabla ya kuja uislamu
 
Una uhakika au una ushahidi?
Ndio, bwana yule aliibuka tayari manabii wote walishakuwepi, walishamaliza kazi Yao duniani akakusanya kusanya maneno kwenye tora ba bible ambavyo kabla ya kuleta hicho chake vilikuwepobtayari na jamii yake ilikuwa hazijui dini yoyote tofauti ya mawe ya kimila. Biashara na wajomba zake ugaibuni ndio zilimfumbua macho kuwa Kuna Mungu mmoja na vitabu vya dini. Hakusoma ila dlikuwa ana cramming capacity kubwa akisikia kimenasa. Akaja kuchanganya na yake paaa kawaambia kimeshushwa
 
Manabii wote walikua waislamu na kiongozi wa manabii alikua Muhammad s.a.w
Kwa maan nuru ya Muhammad iliumbwa kabla ya manabii kama sio watu wote
Uislamu ndio dini kongwe kabisa tokea kwa binaadam wa kwanza kabisa ambae alikua nabii Adam
 
Toa uthibitisho wa hiki ulichoandika
angalia biblia na quran VYOTE KWA PAMOJA VINAHUBIRI UMOJA NA UPEKEE WA MUNGU.
 

Attachments

  • Screenshot_20240211_182803_Biblia Takatifu.jpg
    131.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240211_182930_Samsung Internet.jpg
    84.3 KB · Views: 2
Hapo ushachanganya madawa.tutalipuka sasa hivi.soma aya ya 3
Kwa hiyo basi usilingamishe Biblia na quran maana havifanan na infact kimoja ni kitabu cha Mungu wa kweli na kingine ni kitabu cha shetani na kitabu kimoja kilianza kingine kikakopiwa kutoka kilichoanza kwa mistari mingi sana na tena aliyeliandika akapindisha maneno mengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…