- Thread starter
- #61
Na hizo picha alipigwa akiwa na miaka 14Kwa kwel ni kapis kwel kwel,kama kangekuwa kanavaa hayo mahijabu huo mguu nisingeuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hizo picha alipigwa akiwa na miaka 14Kwa kwel ni kapis kwel kwel,kama kangekuwa kanavaa hayo mahijabu huo mguu nisingeuona
Unazungumzia Walinzi wa Nchi ipi ?Walinzi wanafaidi bwana.....
Ukirudi kwemye point zangu za juu..nimeeleza vizuri.kuwa ujumbe wa kila mtume ni kuhubiri MUNGU MMOJA.sasa Muhammad na yesu watatofautiana vipi wakati wamepewa ujumbe mmoja?na ndo maana hata vitabu vyao vinafanana.kama wasingekuwa na ujumbe mmoja vitabu walivyopewa visingefanana.sijui umeelewa?Kwa hiyo basi usilingamishe Biblia na quran maana havifanan na infact kimoja ni kitabu cha Mungu wa kweli na kingine ni kitabu cha shetani na kitabu kimoja kilianza kingine kikakopiwa kutoka kilichoanza kwa mistari mingi sana na tena aliyeliandika akapindisha maneno mengi tu.
Alafu Muhammad s.a.w.hakuwa anajua kusoma wala kuandika.ukisema alocopy quran kwenye biblia utakuwa unakosea.mana hata yeye kafundishwa.yeye alikuwa anakariri anachoambiwa anakwenda kuwaambia watu.na mungu alijua hilo kuwa mtakuja kusema kacopy ndo maana akamfanya asijue kusoma wala kuandika. Kwa hyo hoja yako kuwa Muhammad kacopy quran kwenye biblia HAINA MASHIKOKwa hiyo basi usilingamishe Biblia na quran maana havifanan na infact kimoja ni kitabu cha Mungu wa kweli na kingine ni kitabu cha shetani na kitabu kimoja kilianza kingine kikakopiwa kutoka kilichoanza kwa mistari mingi sana na tena aliyeliandika akapindisha maneno mengi tu.
Basi wenda hicho ndo kinacho mlinda kwa sababu ya mahusiano yaliyopo kati ya UAE na Jordan.Alipewa zawadi na ufalme wa Jordan kuimarisha uhusiano. Ni binti wa marehemu king Hussein wa Jordan mdogo wake king Hussein sasa hivi.
Mungu Mmoja Baba Mwana Na Roho Mtatatifu na sio yule wa Kaaba Al lah aliyeabudiwa na Babu Yake Mohamadi.Tangu binadamu wa kwanza Adam.alihubiri Mungu mmoja.ambayo ndio shahada ya kuwa muislamu
Women eeh! Yaani mlinzi kapewa mbususu na kuhongwa range. Aisee usimuonee huruma kiumbe anaifwa mwnamke...yaani wee mkule alafu mtupe kule usisahau na kumtemea mate kabisaaaHuyo hapo nyuma kambeba kijana wake. Inasemekana walinzi wengine walimuonya jamaa anachofanya nikinyume na maadili ya kazi hakusikia. Mspenzi yalinoga hadi Hawa akamnunulia jamaa nyumba, Saa ghali za Rolex na range. Ila sasa hivi anaishi kama digidigi akihofia maisha yake yeye anavyodai.View attachment 2900817
View attachment 2900822
Mungu Mmoja Baba Mwana Na Roho Mtatatifu na sio yule wa Kaaba Al lah aliyeabudiwa na Babu Yake Mohamadi.
Kula aya kijana hizo.alafu uniambie kuna kitabu gani kizuri kuishinda Qur'an. MNAFELI WAPIMungu Mmoja Baba Mwana Na Roho Mtatatifu na sio yule wa Kaaba Al lah aliyeabudiwa na Babu Yake Mohamadi.
Unaitwa mjinga Mimi 🤣 🤣 🤣Uislam sio dini ya muarabu.maana kuna mitume ya kiyahudi ilikuja kutangaza uislam.utume na kutangaza mungu mmoja hyo kazi ilianza kwa Adam,akaja,lutwi,nuhu ukaenda akaja Ibrahim na watoto wake ikaja kwa wajukuu zake.ikapotea ikarudi tena kwa musa,zakaria,akaja yahaya ikaja kwa yesu mpaka ikamfikia Muhammad. Utasemaje uislam ni dini ya muarabu?au dini ya Muhammad.?
Una la kuongeza?Unaitwa mjinga Mimi 🤣 🤣 🤣
Wazungu kuna wakristo safi na pia kuna washenzi wasiokuwa na dini na wapjnga kristo na pia waarabu kuna waislamu safi na kuna washenzi wasiodini kinachoangaliwa sio race bali imani na mafunzo yake na watu hawafuati aina ya race bali maandiko ya mungu .Waarabu wa bongo bana! Wanajiona wao ndio wanajua uaraaabu, wanajifunika nguo gubigubi, kwa Wana wake. Wanaume vipedo na furushi la midevu lakini ona wenye dini na Mila zao wanakula Raha wewe wamekuachia utumwa. Eti unasubiri firidausiii .....ogopa
Mrembo kweli kweli huyo binti....hata mimi ningehuzunika.Mzuka wanajamvi.
Mtawala wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman (MBS) aliahidiwa na mtawala wa Dubai al maktoum atamtunukia binti yake amuoe.
Lakini baada ya mtawala wa Dubai kugongewa mkewe Haya bint Hussein na mlinzi ndoto za MBS zikatoweka baada ya Hawa kutorokea uingereza na huyo binti pamoja na mdogo wake.
Inasemekana MBS ali huzunika sana. Hako kasichana ni pisi balaa.
Mfalme/mtawala wa Dubai na familia ya Salman ni marafiki wakubwa sana. Na walitaka kuimarisha urafiki zaidi bond kwa MBS kuoana na hako kabinti ambaye sasa hivi ni miaka 17.
Source: mama yake huyo binti Haya binti Hussein ambaye ni mdogo wake king Hussein wa Jordan alipokuwa akitoa ushaidi mahakmani uingereza.
View attachment 2900801View attachment 2900802
Yaani jua na joto kali la Dar , lakini mtu amejifungia maushungi kama mashuka tena meusi! nawanaonea huruma sana.Waarabu wa bongo bana! Wanajiona wao ndio wanajua uaraaabu, wanajifunika nguo gubigubi, kwa Wana wake. Wanaume vipedo na furushi la midevu lakini ona wenye dini na Mila zao wanakula Raha wewe wamekuachia utumwa. Eti unasubiri firidausiii .....ogopa
Asante mkuu nimeangalia hizo nywele nikajiuliza mbona siyo za kiarabu.Of course mama yake huyo mama; I mean mke wa Hussein bibi yake hicho kibinti ni mwingereza pure! So, huyo mama mke wa Maktoum Uingereza ni kwa wajomba zake. Yuko ujombani na unajua nguvu za wajomba.
Princess Diana alitaka kuleta uarabu kwenye ufalme wa Kiingereza yaliyotokea wote mnafahamuAsante mkuu nimeangalia hizo nywele nikajiuliza mbona siyo za kiarabu.