Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Achilia mbali raha ya kusoma whatsap text au kupokea video call kutoka kwa mpenzi umpendaye, unaijua raha ya kupokea barua ukiwa shuleni toka kwa mpenzi wako ikiwa imefungwa na sticker za kopa na ndani unakutana na dedication za nyimbo bomba enzi hizo kama Mimi na wewe Mr blu, Nataka niwe na wewe milele , LOVE YOU wyclef Jean,When i see you Fantasio n.k ukiachilia hilo mambo mengine yaliyofanya mapenzi ya enzi zile kuwa na kumbukumbu ya kipekee ni kama yafuatayo.
1. Hakukuwa na simu mkononi so appointment ni zile za kusubiriana sehemu ama kumtuma shoga ake demu akuletee hadi eneo la tukio na kama anakuja kwa daladala basi mlume ukagande stand siku nzima macho kwenye kila abiria anaeshuka 😀 but yet hakukuwa na fake promise ingawa uvumilivu ulihitajika sio poa
2. Msoto unaopitia mpaka kumuweka demu sawa yaani kama una nyota nzuri ni mwaka mmoja hapo sizungumzii kuja kupewa tunda special
3. Pisi ikija home kupewa tunda kidume hadi utoe chozi ila uzuri hakuna kuombana nauli wala hela ya kusuka yaani sometime pisi unaipa hela inakataa 😀
4. Possibility ya kukutana na binti bikra ilikuwa kubwa au tena unamkuta mtu ana feelings kama zote kwenye tendo siku hizi binti unapeleka moto simu yake ikiita utasikia anasema " Atakuwa Mama huyo ananitafuta "😀
Sema nyi madogo wa 2000 siku hizi mnapigwa sana .
1. Hakukuwa na simu mkononi so appointment ni zile za kusubiriana sehemu ama kumtuma shoga ake demu akuletee hadi eneo la tukio na kama anakuja kwa daladala basi mlume ukagande stand siku nzima macho kwenye kila abiria anaeshuka 😀 but yet hakukuwa na fake promise ingawa uvumilivu ulihitajika sio poa
2. Msoto unaopitia mpaka kumuweka demu sawa yaani kama una nyota nzuri ni mwaka mmoja hapo sizungumzii kuja kupewa tunda special
3. Pisi ikija home kupewa tunda kidume hadi utoe chozi ila uzuri hakuna kuombana nauli wala hela ya kusuka yaani sometime pisi unaipa hela inakataa 😀
4. Possibility ya kukutana na binti bikra ilikuwa kubwa au tena unamkuta mtu ana feelings kama zote kwenye tendo siku hizi binti unapeleka moto simu yake ikiita utasikia anasema " Atakuwa Mama huyo ananitafuta "😀
Sema nyi madogo wa 2000 siku hizi mnapigwa sana .