Mtazamo huru: Kizazi cha wanaume wa miaka ya 1980s hadi 1990s ndo cha mwisho kufaidi mapenzi ya kweli kutoka kwa wanawake

Mtazamo huru: Kizazi cha wanaume wa miaka ya 1980s hadi 1990s ndo cha mwisho kufaidi mapenzi ya kweli kutoka kwa wanawake

halafu hauambiwi chochote ukiona kimya wiki nzima anza kujiuguza bila kutoa milio
Na katika hili mara zote hasara inakua upande wa mwanaume kwa sababu ndie mwekezaji kwenye mahusiano, that's why everyday i tell my fellow brothers here to stay sharp, relationships are not what they used to be, the game has changed. Understand what you are getting into, set high standards and never settle for less
 
Na katika hili mara zote hasara inakua upande wa mwanaume kwa sababu ndie mwekezaji kwenye mahusiano, that's why everyday i tell my fellow brothers here to stay sharp, relationships are not what they used to be, the game has changed. Understand what you are getting into, set high standards and never settle for less
👏👏👏👏
 
Achilia mbali raha ya kusoma whatsap text au kupokea video call kutoka kwa mpenzi umpendaye, unaijua raha ya kupokea barua ukiwa shuleni toka kwa mpenzi wako ikiwa imefungwa na sticker za kopa na ndani unakutana na dedication za nyimbo bomba enzi hizo kama Mimi na wewe Mr blu, Nataka niwe na wewe milele , LOVE YOU wyclef Jean,When i see you Fantasio n.k ukiachilia hilo mambo mengine yaliyofanya mapenzi ya enzi zile kuwa na kumbukumbu ya kipekee ni kama yafuatayo.

1. Hakukuwa na simu mkononi so appointment ni zile za kusubiriana sehemu ama kumtuma shoga ake demu akuletee hadi eneo la tukio na kama anakuja kwa daladala basi mlume ukagande stand siku nzima macho kwenye kila abiria anaeshuka 😀 but yet hakukuwa na fake promise ingawa uvumilivu ulihitajika sio poa

2. Msoto unaopitia mpaka kumuweka demu sawa yaani kama una nyota nzuri ni mwaka mmoja hapo sizungumzii kuja kupewa tunda special

3. Pisi ikija home kupewa tunda kidume hadi utoe chozi ila uzuri hakuna kuombana nauli wala hela ya kusuka yaani sometime pisi unaipa hela inakataa 😀

4. Possibility ya kukutana na binti bikra ilikuwa kubwa au tena unamkuta mtu ana feelings kama zote kwenye tendo siku hizi binti unapeleka moto simu yake ikiita utasikia anasema " Atakuwa Mama huyo ananitafuta "😀

Sema nyi madogo wa 2000 siku hizi mnapigwa sana .
Upo sahihi kataa ndoa na MASIMP wengi ni born after 1990,..........miaka ile hata wanawake wanaosoma walikua wachache,
Juzi kati Kuna mtu kamvisha Pete kwa kumpigia magoti, dada alikua anakaa geto na mshikaji chuo,anagongwa akagongeka,
 
Ndiyo usiseme wanaume tu hapana, sema mapenzi ya siku hizi! Siku wanaume wanasusa Hadi kumgusa mkewe, wazee wazamani walifundishwa kwanza kitanda 2*6 unamkwepa vipi mwenzio!±
Ofcoz mambo yamebadilika sana na utandawazi umeathiri sana mahusiano
 
Achilia mbali raha ya kusoma whatsap text au kupokea video call kutoka kwa mpenzi umpendaye, unaijua raha ya kupokea barua ukiwa shuleni toka kwa mpenzi wako ikiwa imefungwa na sticker za kopa na ndani unakutana na dedication za nyimbo bomba enzi hizo kama Mimi na wewe Mr blu, Nataka niwe na wewe milele , LOVE YOU wyclef Jean,When i see you Fantasio n.k ukiachilia hilo mambo mengine yaliyofanya mapenzi ya enzi zile kuwa na kumbukumbu ya kipekee ni kama yafuatayo.

1. Hakukuwa na simu mkononi so appointment ni zile za kusubiriana sehemu ama kumtuma shoga ake demu akuletee hadi eneo la tukio na kama anakuja kwa daladala basi mlume ukagande stand siku nzima macho kwenye kila abiria anaeshuka 😀 but yet hakukuwa na fake promise ingawa uvumilivu ulihitajika sio poa

2. Msoto unaopitia mpaka kumuweka demu sawa yaani kama una nyota nzuri ni mwaka mmoja hapo sizungumzii kuja kupewa tunda special

3. Pisi ikija home kupewa tunda kidume hadi utoe chozi ila uzuri hakuna kuombana nauli wala hela ya kusuka yaani sometime pisi unaipa hela inakataa 😀

4. Possibility ya kukutana na binti bikra ilikuwa kubwa au tena unamkuta mtu ana feelings kama zote kwenye tendo siku hizi binti unapeleka moto simu yake ikiita utasikia anasema " Atakuwa Mama huyo ananitafuta "😀

Sema nyi madogo wa 2000 siku hizi mnapigwa sana .
Nimecheka saaana aseh!!,kweli enzi hizo ilikuwa raha sana ase,pengine demu kumpata hadi mchezo wa kombolela,mnamalizana huko kwenye pagala duh!!wenzenu wanabaki kushangaa tu,mbona fulani na fulani hawaonekani?,ndo kipindi hicho demu anakuonea haibu wala hakutazami usoni,anabaki kuvunja tu vijiti na kuuma vidole kwa haibu ya hali ya juu,leo hii anakudolea macho hadi kwenye shughuli yenyewe, Wala hakuna radha wala miguno duh,kizazi cha leo kina hasara!!!
 
Nimecheka saaana aseh!!,kweli enzi hizo ilikuwa raha sana ase,pengine demu kumpata hadi mchezo wa kombolela,mnamalizana huko kwenye pagala duh!!wenzenu wanabaki kushangaa tu,mbona fulani na fulani hawaonekani?,ndo kipindi hicho demu anakuonea haibu wala hakutazami usoni,anabaki kuvunja tu vijiti na kuuma vidole kwa haibu ya hali ya juu,leo hii anakudolea macho hadi kwenye shughuli yenyewe, Wala hakuna radha wala miguno duh,kizazi cha leo kina hasara!!!
Dah kombolela iliumiza mabinti wengi sana ukizingatia mara nyingi inachezwa mida ya jion jion ,unakuta john anakuja kubutua kombolela kavaa gauni la happy 😀😀
 
Nimecheka saaana aseh!!,kweli enzi hizo ilikuwa raha sana ase,pengine demu kumpata hadi mchezo wa kombolela,mnamalizana huko kwenye pagala duh!!wenzenu wanabaki kushangaa tu,mbona fulani na fulani hawaonekani?,ndo kipindi hicho demu anakuonea haibu wala hakutazami usoni,anabaki kuvunja tu vijiti na kuuma vidole kwa haibu ya hali ya juu,leo hii anakudolea macho hadi kwenye shughuli yenyewe, Wala hakuna radha wala miguno duh,kizazi cha leo kina hasara!!!
Haibu = aibu.
 
Back
Top Bottom