KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #161
MUSCULINITY.....💪💪Mwanaume inatakiwa uangalie taarifa ya habari na mpira...
🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUSCULINITY.....💪💪Mwanaume inatakiwa uangalie taarifa ya habari na mpira...
🤣
Pambaneni na tamthilia katuni ziacheni. Hazipo ktk mada. Kwa mfano Tom and Jerry produced by Feed Quimb, Samurai Jack, kind Next door, Eddy, Edd and Eddie hizi zote hazijatajwa so mziache tuMimi hadi katuni naangalia na sijali.
Unajua series ya game of throneHabari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Samahani mkuu....kwani tamthilia na series si ni vitu viwili tofauti....??Unajua series ya game of throne
Snow fall
Bmf
Breaking bad
Mzee zitazame hizo alafu uje kufuta huu uzi
Huyu anachokizungumzia ni epsode soo zote zina epsodeSamahani mkuu....kwani tamthilia na series si ni vitu viwili tofauti....??
Ukisikia "hodi" unazugaMimi hadi katuni naangalia na sijali.
Tule tugauni...miaka ya nyuma...tukiwa sekondari...mechi za netiboli kuna wazee walikuwa wanaacha ofisi zao na kuja kushangaaa......guess what?????
Ndo maana nikasema naangalia series mkuu siyo tamthilia.Series siyo Tamthilia, kinacho zungumziwa hapa ni "Drama" or"TV Darama" au "TV Play" ingawa vina series
Wewe hujaona kuwaita wanaume wanaopenda tamthiliya usizopenda wewe kuwa hawana masculinity ni lugha chafu ya kuwavunjia heshima?Unaweza tu kutoa maoni yako na yakaheshimiwa pasi na kutoa lugha chafu.....hapa ni jukwani tu kila mmoja ana maoni na mtazamo wake
Siku sema hawana masculinity.....Wewe hujaona kuwaita wanaume wanaopenda tamthiliya usizopenda wewe kuwa hawana masculinity ni lugha chafu ya kuwavunjia heshima?
Kweli nyani haoni kundule.
unabadilisha maneno sasa, ila umesema nini?Siku sema hawana masculinity.....
Sio kweli.Mleta mada aidha ni mshamba au maisha yamempiga..bado anajitafuta
Asilimia kubwa kutokana na michango ya wadau nimegundua wakina nani wanaogopa Mende na Panya na wA wale specialist wa kuuwa Nyoka mtaani haya vita viendelee.Mbona una hasira sana mjomba, usoft wa mtu hauhusiani na uigwa pipe.
Tatizo lenu wengi mmekulia kwenye dhiki hivyo unaamini uanaume ni mateso uliyoona anapitia baba yako, unayopitia wewe na kizazi chenu nyote asipokuwepo wa kubadili mtazamo basi mtaishi kwa mateso.
Sio ajabu mtu kufatilia tamthilia, as long kinamfurahisha, havunji sheria na hamna kosa analofanya akifanya hivyo.
Sio lazima uangalie filamu za kuuana na mapigano ati ndo uanaume, mnajengea misingi mibovu waneno ndo hao wanakua viumbe katili, ati kwa kujitetea usiwe soft, ustrong hauigizwi kwa kukana upendavyo kwakuwaza utaonekanaje, bali ni kufanya kile unachoona ni sahihi bila kuvunja sheria hata kama watu 100 watakua against nawe.
#kwisha.
Wale ambayo wanaigiza kwenye hizo Tamthilia sio wanaume wenzetu kwani?Habari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
La mwiiiisho kabisa na majalio ni ya.....Kulia ni tiba dogo, ndio maana mnajiua na kufa kizembe.
Ukihisi kudondosha chozi donsosha, jicho ni lako, chozi ni lako na kama vidi yadake machozi yako ili usikere watu kabisa.
Daaa Hii Comment nimelia peke yangu eti nalo ni Dume!Tatizo ni ujinga tu, hata maana ya tamthiliya hujui.
Hujui kwamba inawezekana ikawepo tamthiliya ya vita.
Na hiyo masculinity mnayoisema ukiichunguza sana ni mnajimwambafy kijinga kimfumodume tu.
Acha izoHabari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.