Mtazamo korofi: Mwanamume kufuatilia tamthilia naona kama haijakaa sawa hivi

Mtazamo korofi: Mwanamume kufuatilia tamthilia naona kama haijakaa sawa hivi

Binafsi yangu napenda kitu chenye uhalisia au kinachonifundisha kitu flani. Mfano fiction series ambazo wengi wanaziona ni masculine kwa sababu ya teknolojia ila binafsi sioni value yoyote katika kuangalia vitu vya kufikirika

Lakini pia naangalia series au movie kutokana na mood. Siku nikichoka na staki kutumia ubongo naweza tafuta hata love story

Na hata nikikuta watu wanaangalia tamthilia ya kibongo kama juakali ambayo ina story line nzuri ntaangalia pia.

Ila kama wewe ni baba wa familia, ni muhimu kujua familia yako inaangalia nini kwa sababu ukikaa pembeni, nani atajua
 
Kuna vitu kimsingi ukivitazama vinakupa motisha hasa mfano Lt. Col Hal Moore wakati wa hutoba yake kwa makamanda na askari wa battalion yake iliyokuwa inakwenda Japan kwamba
"Wote tunakwenda na wote tutarudi haitajalisha katika hali gani uwe mzima au umekufa ila utarudi, mimi ndiye nitakuwa wa kwanza kushusha mguu wangu kule na mimi ndiye wa mwisho kuondoka pale".

WE WERE SOLDIERS...

Sawa sikatai kila mtu ana kile anachopendelea ila angalia mfano ONG BAK za Tony jaa huwezi linganisha na tamthilia za kulia lia.
 
Saaana mwanaume kuwa soft ndo nyie mkitingwa unalia na kulalia kifua cha mwanaume mwenzio kufutwa machozi
Mbona una hasira sana mjomba, usoft wa mtu hauhusiani na uigwa pipe.
Tatizo lenu wengi mmekulia kwenye dhiki hivyo unaamini uanaume ni mateso uliyoona anapitia baba yako, unayopitia wewe na kizazi chenu nyote asipokuwepo wa kubadili mtazamo basi mtaishi kwa mateso.

Sio ajabu mtu kufatilia tamthilia, as long kinamfurahisha, havunji sheria na hamna kosa analofanya akifanya hivyo.
Sio lazima uangalie filamu za kuuana na mapigano ati ndo uanaume, mnajengea misingi mibovu waneno ndo hao wanakua viumbe katili, ati kwa kujitetea usiwe soft, ustrong hauigizwi kwa kukana upendavyo kwakuwaza utaonekanaje, bali ni kufanya kile unachoona ni sahihi bila kuvunja sheria hata kama watu 100 watakua against nawe.

#kwisha.
 
Ila ndani ya tamthilia kuna wanaume wameigiza, sasa sijui imekaaje hapo
 
Na haya yanaendelea humu naona ni Tamthiliya tu...

Dunia ina watu Bilioni 8, wazo la mtu mmoja linaweza kuibadilisha ila siyo kuondoa "UANAUME" wa mtu.

Na mimi naangalia sana Tamthiliya, nilianza na "Studio 263" ya Wazimbabwe ndani Pulse TV, nilivutiwa sana na uhusiano wa Jabu na Vimbai Jari ( RIP Anne Nhira ) ...
 
Ni matatizo ya afya ya akili ambayo hayachukuliwi hatua tu mtu anatoroka hadi kazini eti awahi alapaslani sijui
 
Ni matatizo ya afya ya akili ambayo hayachukuliwi hatua tu mtu anatoroka hadi kazini eti awahi alapaslan
 
Kuna watu kwa ujumla hawana uwezo wa kuelewa movies na series za kizungu. Hawa huishia kukandia kwamba movies ni vitu vya hovyo.

Watu hao hata hobbY ya kusoma novels au materials yasiyo ya kitaalauma, huwa wanapata tabu. Hawa wanachoelewa ni mchezo wa mpira na mchezo wa ndondi, kwa vile ni rahisi kuelewa nani kashinda au nani kashindwa.
 
Habari za muda huu waungwana.

Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.

Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.

Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.

Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Mwanaume inatakiwa uangalie taarifa ya habari na mpira...
🤣
 
Habari za muda huu waungwana.

Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.

Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.

Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.

Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
kwa mimi jinsi nilivyo huwa napenda san kuangalia Series endapo siku iyo nipo free sana au weekend Jumapili. ila nikiwa kwenye Mitikasi ya kila siku ya kuangaikia Tumbo Siwez cheki hata single movie naon inanipotezea muda tu. ko ni kila mtu na namna alivyojipangilia vitu vyake na sizan kam ni kosa kisheria.

𝙇𝙖𝙗𝙙𝙖 𝙘𝙝𝙖 𝙢𝙪𝙝𝙞𝙢𝙪 𝙣𝙞 𝙠𝙪𝙩𝙤 𝙠𝙖𝙯𝙞𝙖 𝙁𝙪𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙠𝙖𝙛𝙖𝙣𝙮𝙚𝙟𝙚 𝙖𝙪 𝙠𝙬𝙖𝙣𝙣 𝙛𝙪𝙡𝙖𝙣 𝙖𝙣𝙖𝙥𝙚𝙣𝙙𝙚𝙡𝙚𝙖 𝙝𝙞𝙠𝙞.. 𝙡𝙖𝙗𝙙𝙖 𝙠𝙖𝙢 𝙣𝙞 𝙢𝙩𝙤𝙩𝙤 𝙬𝙖𝙠𝙤 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙯𝙖𝙖𝙖 𝙪𝙩𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙛𝙬𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙢𝙞𝙚𝙣𝙚𝙣𝙙𝙤 𝙮𝙖𝙠𝙚.!!
 
Sasa mwanaume utagombaniaje remote na wanawake wakati wote mnapenda kitu kimoja,ebu rekebisha hapo

Hapa kwangu hata remote hatujui ipo wapi muda wote king'amuzi kipo azam two
 
Saaana mwanaume kuwa soft ndo nyie mkitingwa unalia na kulalia kifua cha mwanaume mwenzio kufutwa machozi
Kulia ni tiba dogo, ndio maana mnajiua na kufa kizembe.
Ukihisi kudondosha chozi donsosha, jicho ni lako, chozi ni lako na kama vidi yadake machozi yako ili usikere watu kabisa.
 
Mimi hizo tamthilia huwa sizielewi hata kama imetafsiriwa kiswahili.
 
Wengine wanangalia warembo tu kwenye izo maigizo nyashi ni nyingi sana humo, ila si kwa kuifuatilia
 
Back
Top Bottom