DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Mtoto wa kiume unatakiwa kuangalia pilau tu HATA kuangalia mpira ni umama pia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa, maana mashambulizi yamezidi upande huu 😜Usihofu legend tupo pamoja,wamezidi kutufuatilia aisee
je wakisikia tunafanya massage hlf tunamalizia na happy ending si watapagawa hawa😂😂Hapo sawa, maana mashambulizi yamezidi upande huu 😜
Si ajabu Leo hata hela ya Kula Hana!Ishi maisha yako master
Wakisikia hayo, lazima wataandamana kutupingaje wakisikia tunafanya massage hlf tunamalizia na happy ending si watapagawa hawa😂😂
Hivi prison break ni tamthilia?Habari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Sijafahamu madam.....Hivi prison break ni tamthilia?
hizi action series zenye mabunduki na mapanga ni za wanawake pekee kuangalia? Au labda utupe tofauti kati ya series na tamthilia.Sijafahamu madam.....
Nadhani inaeleweka vitu ambavyo ni MASCULINE.....hasa hzo actions movie...nadhani kuna mdau hapa juu ametanabaisha vyema....hizi action series zenye mabunduki na mapanga ni za wanawake pekee kuangalia? Au labda utupe tofauti kati ya series na tamthilia.
ZIpo tamthilia ambazo ni Masculine pia.Nadhani inaeleweka vitu ambavyo ni MASCULINE.....hasa hzo actions movie...nadhani kuna mdau hapa juu ametanabaisha vyema....
Basi inawezekana..... pengine mimi sio mjuzi wa kuzitofautishaZIpo tamthilia ambazo ni Masculine pia.
Labda ungespecify aina ya tamthilia ambazo hazifai kwa mwànaume.
MImi najua tamthilia ndo hizo hizo series..ni suala la lugha tu.
Si ndo burudani, na anafata ratiba kabisa watoto wamepiga katuni yeye anaanza saa 8 na nusuLast weekend nilienda kumtembelea jamaa kwake, ilipofika mida nane nusu mchana akanambia tuhamie sebuleni maana kuna marudio ya tamthilia zake anazofuatilia.
Na mwamba aliwabadilishia watoto cartoon ili aangalie tamthilia za kina Gambo😂😂😂.
Japo ni tv yake na nyumba yake ila nilimuona bonge la kituko😂😂😂