Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
My ex wife yeye ana mtazamo kwamba hata status whats app ni kwa ajili ya wanawake naona kwasababu wanawekeana vijembe sana
Katu usiishi maisha yako kwa mitazamo ya watu wengine,,kama hampendi tamthilia ni tatizo lenu na sio letu period
Katu usiishi maisha yako kwa mitazamo ya watu wengine,,kama hampendi tamthilia ni tatizo lenu na sio letu period