MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

Ukiwa huna taarifa, usiudanganye umma. Makonda aliteuliwa na JPM kuwa Mkuu wa mkoa na huyo huyo ndiye aliyemtengua. Hakuna awamu ilifuata tofauti na hii ya sasa iliyomteua tena.
Ngoja kijana aimarishe chama na kukirejeshea uhai.
Kampeni za makonda hufanikiwa sana
1. Walimu wa Dar kutolipa nauli
2. Vita vya Shisha
3. Wanaume waliotelekeza watoto.
Kwa tathmini ya haki, mafanikio yalikuwa makubwa zaidi ya 75%.
Jembe lipo kazini, piga kazi.
Taifa linahitaji Makonda 10 tu ili kusonga mbele
Hivi mkuu kipindi kile Bashite ni mkuu wako wa Mkoa DSM ... Nakumbuka wewe ulikuwa wa kwanza kwenda kwake kwa ajili ya zoezi lake LA kuwapima Tezi dume na Bawasiri..

Nasikia zoezi lilifanikiwa kwa zaidi ya asilimia 75% na mlifurahia huduma
 
1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?
Hata Polepole alikuwa akifanya hayo, tena akiwapigia hao mawaziri live akiwa kwenye kipindi cha Tv.

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio .
Kwa Sasa mikutano ya hadhara ni ruksa .

. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.
' Inasemekana '....hata wewe huna uhakika na hilo, hao waliotukanwa na kukashifiwa wanaruhusiwa kwenda mahakamani kupata haki yao.
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu mkuu/CEO wa CCM.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:-
Wakubwa zake wanajiuliza:-

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio .

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​
Mkuu,wewe si Mtanganyika?

Sisiemu nyakati kama hizi huwa tayari kumtumia yeyote bila kujali ni nani anadhalilishwa (na hapa kuna makubaliano baina yao) ilimradi tu sisiemu ijizolee sifa masikioni mwa Wadanganyika ili wakikwapua uchaguzi waseme wameshinda kihalali na ushahidi ukiwa ni mikusanyiko ya Wadanganyika ktk mikutano km hiyo.

Nikukumbushe kupigwa kwa yule Mzee Mzanaki aliyewahi kuwa Jaji na Waziri mkuu lkn pia Makamu wa Raisi,unadhani waliompiga walikurupuka au ilikuwa ni lazima hilo lifanyike ili kuinusuru sisiemu?

Hao ni waigizaji na asikudanganye mtu kuwa watafarakana,na haitotokea kwani yule kapewa vitalu vya uwindaji,mwingine kahakikishiwa kurudi Bungeni na kupewa Uwaziri,unadhani pamoja na kushikiwa bastola kuonekana kwa mtuhumiwa no1 na yeye akaambiwa shusha pumzi atatia mgomo?
 
Hata Polepole alikuwa akifanya hayo, tena akiwapigia hao mawaziri live akiwa kwenye kipindi cha Tv.


Kwa Sasa mikutano ya hadhara ni ruksa .


' Inasemekana '....hata wewe huna uhakika na hilo, hao waliotukanwa na kukashifiwa wanaruhusiwa kwenda mahakamani kupata haki yao.
Kwakuwa MAGU alikuwa anapora passport za wakandarasi na kuwafukuza wakiwa saiti na SAMIA afanye vivyo hivyo?
Unajua hasara iliyotokana na shujaa kufukuza wakandarasi saiti ndio yale makesi kule Canada tunalipa mabilioni?
Kwakuwa ulizalikuwa ukakuta wazazi wako wanakula vya kunyonga na wewe unataka kunyonga badala ya kuchinja?
 
Ukiwa huna taarifa, usiudanganye umma. Makonda aliteuliwa na JPM kuwa Mkuu wa mkoa na huyo huyo ndiye aliyemtengua. Hakuna awamu ilifuata tofauti na hii ya sasa iliyomteua tena.
Ngoja kijana aimarishe chama na kukirejeshea uhai.
Kampeni za makonda hufanikiwa sana
1. Walimu wa Dar kutolipa nauli
2. Vita vya Shisha
3. Wanaume waliotelekeza watoto.
Kwa tathmini ya haki, mafanikio yalikuwa makubwa zaidi ya 75%.
Jembe lipo kazini, piga kazi.
Taifa linahitaji Makonda 10 tu ili kusonga mbele
Unapojifunza kuwa mnafiki kwa manufaa ya wengine lazima uwe hivi (uwe km mwendawazimu) kuwapa wengine credit wasizo stahili.

Aliwapima wangapi DNA mpaka akafanikisha hiyo no3?
Kipi bora kati kuwalipa walimu masilahi bora ili walipie nauli wenyewe na kuwadhulumu wamiliki wa magari haki yao ya kulipwa nauli ilihali wakilipa kodi?
 
Unapojifunza kuwa mnafiki kwa manufaa ya wengine lazima uwe hivi (uwe km mwendawazimu) kuwapa wengine credit wasizo stahili.

Aliwapima wangapi DNA mpaka akafanikisha hiyo no3?
Kipi bora kati kuwalipa walimu masilahi bora ili walipie nauli wenyewe na kuwadhulumu wamiliki wa magari haki yao ya kulipwa nauli ilihali wakilipa kodi?
Unamuuliza CHAWA maswali magumu namna hii unataka apaliwe na uji kabla ya kuanza kibarua chake?
Ana mamlka ya kupimisha watu DNA?
Ana mamlaka ya kutoa hukumu?
Hi nchi tunakuwa kama hatujapata uhuru!
Just imagine USA hata raisi anafikishwa mahakamani, hapa Mahakama inamsalimia rais.
 
INgelikuwa sahihi angefanya kwa ndani ya sheria.
Ukiskiliza mikutano yake, yaani inafaa kwa mikoa maskini:
Hivi mtu ana kesi mahakamani kama yule mzee wa Mwanza jana, ameshindwa kesi mpaka mahakama ya Rufaa anaenda na Makaratasi kwa makonda anataka Makonda aagize apewe ardhi, hizo akili akienda Mikoa inayojielewa hawezi fanya huo upuuzi.
Yani hukumu ya mahakama ya rufaa itenguliwe na katibu mwenezi wa Chama? Sijui wanatuonaje?
Lakini nyie watu wa mahakama ni waovu na hamtendi haki kwa masikini, mnakula rushwa mno kitu inasababisha masikini wasipate haki.

Sasa wananchi wamepata Magufuli mdogo wacha wakamlilie huko.
Hii nchi ukifata protocol kuna mambo yatakwama. Ipo sababu iliyofanya Rais / Mwenyekiti akamchagua Makonda kwenye hiyo nafasi.
Wananchi wanahitaji mtu jasiri na mwenye uthubutu kimaamuzi.

Nchi inahitaji u- Magufuli na Makonda u- Magufuli anao..

Hayupo pale kwa bahati mbaya.
 
Lakini nyie watu wa mahakama ni waovu na hamtendi haki kwa masikini, mnakula rushwa mno kitu inasababisha masikini wasipate haki.

Sasa wananchi wamepata Magufuli mdogo wacha wakamlilie huko.
Hii nchi ukifata protocol kuna mambo yatakwama. Ipo sababu iliyofanya Rais / Mwenyekiti akamchagua Makonda kwenye hiyo nafasi.
Wananchi wanahitaji mtu jasiri na mwenye uthubutu kimaamuzi.

Nchi itahitaji u- Magufuli na Makonda u- Magufuli anao..

Hayupo pale kwa bahati mbaya.
Ndugu sikanushi na wala siungi mkono.
Rushwa ipo sana, kila idara na hata hiyo uliyosema:
Kupata haki kwa kiupitia vyombo visivyo huru nako ni rushwa;
Piganieni hizi ofisi zetu za mahakama ziwe huru, Katiba mpya ilikuwa inasema Jaji mkuu namna atapatikana na majaji, sasa mmepinga na mkuu wa nchi ndiye anateua maswahiba zake, unategemea nini?
 
Amaechukua pia majukumu ya Katibu mkuu na Rais pia. Yaani yeye sasa hivi ni kama rais
Awe Rais kwa sababu ana matako makubwa tu? Acheni ujinga wenu
Screenshot_20231111_190308_Google.jpg
 
Ukiwa huna taarifa, usiudanganye umma. Makonda aliteuliwa na JPM kuwa Mkuu wa mkoa na huyo huyo ndiye aliyemtengua. Hakuna awamu ilifuata tofauti na hii ya sasa iliyomteua tena.
Ngoja kijana aimarishe chama na kukirejeshea uhai.
Kampeni za makonda hufanikiwa sana

1. Walimu wa Dar kutolipa naulia
2. Vita vya Shisha
3. Wanaume waliotelekeza watoto.

Kwa tathmini ya haki, mafanikio yalikuwa makubwa zaidi ya 75%.
Jembe lipo kazini, piga kazi.
Taifa linahitaji Makonda 10 tu ili kusonga mbele
Alifanikiwa kwenye walimu wa dar tuu.shisha aliitwa na wenye biashara yao wakamtuliza labda umekujamjin kwa kufaulu chuo.wanaume hakuna aliotoa matunzo tena alivunja ndoa za watu maana walihamia kutaka dna wakakimbia wenyewe
 
Makonda kasababisha mwenyekiti wetu aahirishe kuendelea na mikutano yake aliokuwa amepanga kuifanya nchi nzima.

Mwenyekiti kaingia wasi wasi, aibu na fedheha, kuona mikutano yake ilidorora huku ya Makonda ikikusanya umati wa watanzania 🤣🤣🤣

Hivyo kaamua kukusanya chawa wake mitandaoni, ukiwemo mleta mada ili mje kuandika ujinga wa kumtoa Makonda kwenye reli ili kumpunguzia mwenyekiti aibu ya kuendelea na operation zake uchwara.

View attachment 2813189View attachment 2813190View attachment 2813191View attachment 2813192
Vitu vingine ni aibu kuviandika kwamba Mbowe anamuogopa makonda. Hata kama ni mapenzi ya chama tuwe tunaona aibu kucomment upuuzi muda mwingine.
 
Ndugu sikanushi na wala siungi mkono.
Rushwa ipo sana, kila idara na hata hiyo uliyosema:
Kupata haki kwa kiupitia vyombo visivyo huru nako ni rushwa;
Piganieni hizi ofisi zetu za mahakama ziwe huru, Katiba mpya ilikuwa inasema Jaji mkuu namna atapatikana na majaji, sasa mmepinga na mkuu wa nchi ndiye anateua maswahiba zake, unategemea nini?
Uko sahihi, lakini bora moja kenda kuliko mbili kenda rudi... wahenga walisema.
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu mkuu/CEO wa CCM bwana Chongolo.

Team CCM mabadiliko vs Sukuma Gang ambayo inarudi kwa namna nyingine nayo inaonekana kutaka uwaziri mkuu 2025 lakini pia inaonekana mwaka 2025 kuna wanaotaka umakamu wa Rais na Uwaziri mkuu, kila mtu anapambana kivyake.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:

Wakubwa zake wanajiuliza:

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio.

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​


Wafu waachwe wazikane
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu mkuu/CEO wa CCM bwana Chongolo.

Team CCM mabadiliko vs Sukuma Gang ambayo inarudi kwa namna nyingine nayo inaonekana kutaka uwaziri mkuu 2025 lakini pia inaonekana mwaka 2025 kuna wanaotaka umakamu wa Rais na Uwaziri mkuu, kila mtu anapambana kivyake.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:

Wakubwa zake wanajiuliza:

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio.

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​
Usimsemee Majaliwa,
Usimsemee Biteko,
Usimsemee mwamaccm yeyote

Hawajakutuma

Hatujakutuma
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu mkuu/CEO wa CCM bwana Chongolo.

Team CCM mabadiliko vs Sukuma Gang ambayo inarudi kwa namna nyingine nayo inaonekana kutaka uwaziri mkuu 2025 lakini pia inaonekana mwaka 2025 kuna wanaotaka umakamu wa Rais na Uwaziri mkuu, kila mtu anapambana kivyake.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:

Wakubwa zake wanajiuliza:

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio.

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​
Publicity secretary siyo sawa na spokesman
Amaechukua pia majukumu ya Katibu mkuu na Rais pia. Yaani yeye sasa hivi ni kama rais
Publicity Secretaray siyo sawa na spokesman
 
Back
Top Bottom