MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

INgelikuwa sahihi angefanya kwa ndani ya sheria.

Ukiskiliza mikutano yake, yaani inafaa kwa mikoa maskini:
Hivi mtu ana kesi mahakamani kama yule mzee wa Mwanza jana, ameshindwa kesi mpaka mahakama ya Rufaa anaenda na Makaratasi kwa makonda anataka Makonda aagize apewe ardhi, hizo akili akienda Mikoa inayojielewa hawezi fanya huo upuuzi.

Yani hukumu ya mahakama ya rufaa itenguliwe na katibu mwenezi wa Chama? Sijui wanatuonaje?
Sasa hapo ni kosa la huyo mzee au ni kosa la MAKONDA?

Mwananchi kaja mkutanoni na ana kero yake, muhimu kumsikiliza,na kushauri namna bora ya kusaidizwa,ulitka asimsikilize?

Hizi mahakama unazosema ameshindwa huyo mzee si ndio mnazikataa kila siku ya kwamba zinapewa maelekezo?

"Wake up gay"
 
Anayoyafanya makonda unaweza kudhani ni JPM mpya!anajipendekeza kupitiliza
Yaani waliompa hiyo project ndio wamemuambia afanye kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Wanaamini ni mbinu iliyokuwa na mafanikio sana, kumbe hawajui kipindi kile watu waliingia woga, na kulazimishwa kujifanya wanakubali siasa za vile.
 
Hata Polepole alikuwa akifanya hayo, tena akiwapigia hao mawaziri live akiwa kwenye kipindi cha Tv.


Kwa Sasa mikutano ya hadhara ni ruksa .


' Inasemekana '....hata wewe huna uhakika na hilo, hao waliotukanwa na kukashifiwa wanaruhusiwa kwenda mahakamani kupata haki yao.
Makini sana bro,mleta uzi ni bonge ya nafiki
 
Ndugu sikanushi na wala siungi mkono.
Rushwa ipo sana, kila idara na hata hiyo uliyosema:
Kupata haki kwa kiupitia vyombo visivyo huru nako ni rushwa;
Piganieni hizi ofisi zetu za mahakama ziwe huru, Katiba mpya ilikuwa inasema Jaji mkuu namna atapatikana na majaji, sasa mmepinga na mkuu wa nchi ndiye anateua maswahiba zake, unategemea nini?
Wewe mwenyewe badala ya kupigania hiyo katiba umeachana nayo umemgeuza MAKONDA panching bag, hopeless kabisa
 
Wewe mwenyewe badala ya kupigania hiyo katiba umeachana nayo umemgeuza MAKONDA panching bag, hopeless kabisa
Katiba yeyote itakayopita bado itatulinda Judiciary, hao wapinzani wamejaribu kuwapigania ila
Sasa kama hao walishindwa kutimiza majukumu yao ulitegemea MAKONDA kama mkuu wa mkoa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Dar ,akae kimya?
Alifannya kwa sehemu yake na alifaninkiwa sana tu,
Acha wivu wa kimama dogo
Joined 2019 baada ya kuhitimu ushonaji veta unanitusi jukwaani? okay nakusamehe kabla sijakujibu:
 
Sasa hapo ni kosa la huyo mzee au ni kosa la MAKONDA?

Mwananchi kaja mkutanoni na ana kero yake, muhimu kumsikiliza,na kushauri namna bora ya kusaidizwa,ulitka asimsikilize?

Hizi mahakama unazosema ameshindwa huyo mzee si ndio mnazikataa kila siku ya kwamba zinapewa maelekezo?

"Wake up gay"
Okay ,medula ndio imekuelekeza hivyo? Kwanini jambo kama lipo mahakamani kwa kiongozi mwenye akili ya lasaba huwa wanasema tuiachie mahakama?
Rais mwenyewe ikiibuliwa kero wasaidizi wakamkumbusha kuwa ipo mahakamani huwa anasema iachwe iishe , nchi ina wapuuzi sana wanaotamani mkono wa chuma wakihisi utagusa wachche lakini rest assured hakuna atakayebaki salama.
 
Mm naona mnahangaika tu bure na huyu jamaa ,yeye anafanya maisha yake nyie mnateseka sababu yake sasa kwann jmn, Mnataka mteseke mara ngap!? Nchi yenyewe ngumu hii afu watu mnapata muda wa kumfatilia mtu tu wala sio PM,sio rais wala sio Makamu wa Rais shida ya wabongo sjui hata ni nn! Bnafs mm namuona kama mfanyakaz tu mwngne wa serikali.
 
Achana na MAKONDA huyo sio level yenu,hizi sio tuhuma bali ni uzushi wa kijinga sana tena wakitoto

Miaka zaidi ya mitatu mmeshindwa kuifanyia kazi hata tuhuma moja tu dhidi yake?
Alikaa benchi muda wa miaka mitatu bila ya kinga yoyote,hakuwajibu kwa kashifa mlizoporomosha dhidi yake,

Kawa mwenezi mkasema kazi hiyo haiwezi,kaamsha mmeona isiwe tabu kila siku mnahamisha magoli

Sasa mmehamia kuchonganisha,watanzania ni laana kubwa hasa wewe mleta huu uzi
Miaka 3 aliyokaa Benchi kwa tuhuma za jinai ulitaka wananchi wa kawaida ndio wakafungue faili kwa DPP?
Unajitoa ufahamu tu, ile uvamizi wa Clouds unahitaji ushahidi tena ? Ile clip ya kutengeneza dhidi ya Gwajima inahitaji ushahidi na ndio alitaka irushwe na clouds?
 
Mm naona mnahangaika tu bure na huyu jamaa ,yeye anafanya maisha yake nyie mnateseka sababu yake sasa kwann jmn, Mnataka mteseke mara ngap!? Nchi yenyewe ngumu hii afu watu mnapata muda wa kumfatilia mtu tu wala sio PM,sio rais wala sio Makamu wa Rais shida ya wabongo sjui hata ni nn! Bnafs mm namuona kama mfanyakaz tu mwngne wa serikali.
Acha upuuzi wewe kaka, anafanya maisha yake vipi wakati anayofanya yana afect Watanganyika wote?
Yale ni mambo yake binafsi ama ya kitaifa?
Dah, hakyanani hii nchi nimeamini kuna watu wamesoma ila zero kabisa:
 
Anayoyafanya makonda unaweza kudhani ni JPM mpya!anajipendekeza kupitiliza
Naona waliokuwa Chawa kweri kweri na waliokuwa wanaiponda regasi wamepotea kwa muda !!

Dunia inaenda mbio sana !
Ngoja Tusubiri tuone 😅🙏🙏
 
Mkuu,wewe si Mtanganyika?

Sisiemu nyakati kama hizi huwa tayari kumtumia yeyote bila kujali ni nani anadhalilishwa (na hapa kuna makubaliano baina yao) ilimradi tu sisiemu ijizolee sifa masikioni mwa Wadanganyika ili wakikwapua uchaguzi waseme wameshinda kihalali na ushahidi ukiwa ni mikusanyiko ya Wadanganyika ktk mikutano km hiyo.

Nikukumbushe kupigwa kwa yule Mzee Mzanaki aliyewahi kuwa Jaji na Waziri mkuu lkn pia Makamu wa Raisi,unadhani waliompiga walikurupuka au ilikuwa ni lazima hilo lifanyike ili kuinusuru sisiemu?

Hao ni waigizaji na asikudanganye mtu kuwa watafarakana,na haitotokea kwani yule kapewa vitalu vya uwindaji,mwingine kahakikishiwa kurudi Bungeni na kupewa Uwaziri,unadhani pamoja na kushikiwa bastola kuonekana kwa mtuhumiwa no1 na yeye akaambiwa shusha pumzi atatia mgomo?
Na huo ndio ukweli wenyewe !!
 
Acha upuuzi wewe, anafanya maisha yake vipi wakati anayofanya yana afect Watanganyika wote?
Yale ni mambo yake binafsi ama ya kitaifa?
Dah, hakyanani hii nchi nimeamini kuna watu wamesoma ila zero kabisa:
Makonda ndio Rais wako si ndio !? Yan mwenezi wa CCM ndio afanye mambo ya kitaifa😆 narudia huyo ni mwenezi wa CCM tu hakuna anachofanyia taifa yeye anapambania chama chake tu hzo zingne ni mbwembwe na porojo tu, punguza mihemko, Elimu yangu naitumia wisely I don't use my education to insult others and my education can't be a reason to spread hatred among others.
 
Kama ulikuwa hujui

Maskini ndo wanapenda style ya Makonda ya kujibu kero

Regaedless anafanikiwa au hafanikiwi
Tuliwaambiaga jamaa humu kuwa JPM ni ngumu sana kuharibu legacy yake kwa wanyonge ambao ndio wengi Nchini !
Tuliwaambiaga pia kwamba yeyote atakayekuja kuanzisha zile style za JPM za Uongozi ataonekana wa maana sana huko kwa ground !
Kama ilivyosema regardless kama atafanikiwa au hafanikiwi !
Hivyo ndivyo ilivyo !!
 
Kuwekwa nini na wapi?

Naona hapa kuna mwehu kaleta uzi, hajielewi hajitambuwi, anachanganya wateuliwa wa serikalini na wateuliwa wa chama.
FB_IMG_1699847633204.jpg
 
Yaani waliompa hiyo project ndio wamemuambia afanye kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Wanaamini ni mbinu iliyokuwa na mafanikio sana, kumbe hawajui kipindi kile watu waliingia woga, na kulazimishwa kujifanya wanakubali siasa za vile.
Nashaur kama unadhan woga jaribu ku ji identify kisha uone nguvu ya chama
 
Back
Top Bottom