MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

Mwisho wake utakuwa mzuri sana! Anaweza kuja kuwa Rais , hofu na kuuwawa na watoto wa kishua kama alivyouwawa bwana yule
Mhmhm kuwa rais?????!!!!!


Labda raisi wa sukumagang!!

Akiwa na madaraka anashaukwa sana huyo kiumbe!
 
Mhmhm kuwa rais?????!!!!!


Labda raisi wa sukumagang!!

Akiwa na madaraka anashaukwa sana huyo kiumbe!
Atawekwa kama alivyowekwa hapo, kila kitu hutokea kwa sababu, Mama Mwenyekiti ana nguvu, na ninakuapia huyu ndio favourite kuliko wana CCM wote kwa sasa. Na mama anamkubali sana, lililo kubwa anaendana na wananchi, kwa jinsi anachapa kazi hadi tufike tamati ya uongozi wa mama , Makonda atakuwa keshadidimiza mizizi kwenye mioyo ya wananchi.

Hofu yangu ni ile team tu ya wale washua..
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu mkuu/CEO wa CCM bwana Chongolo.

Team CCM mabadiliko vs Sukuma Gang ambayo inarudi kwa namna nyingine nayo inaonekana kutaka uwaziri mkuu 2025 lakini pia inaonekana mwaka 2025 kuna wanaotaka umakamu wa Rais na Uwaziri mkuu, kila mtu anapambana kivyake.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:

Wakubwa zake wanajiuliza:

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa makonda muda wa kazi ndio.

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​
na amekuingilia hadi wew au?
 
Vitu vingine ni aibu kuviandika kwamba Mbowe anamuogopa makonda. Hata kama ni mapenzi ya chama tuwe tunaona aibu kucomment upuuzi muda mwingine.
Wewe unaweza kuwa umefungwa akili ili uendelee kuamini kuwa Mbowe wa 2023, ndio Mbowe wa 2008 hadi 2015.

Bado unaamini kuwa watanzania wa miaka 15 iliyopita ndio wale wale wenye mawazo yale yale ya miaka 15 iliyopita.

I mean na umri wako huo mpaka leo haujui kuwa zama zinabadilika na watu pia wanabadilka. Unaweza kuwa tajiri leo, ukaamka masikini kesho. Unaweza kuwa na afya leo, ukaamka na ugonjwa kesho. Unaweza kuwa maarufu miaka 15 iliyopita kama Mbowe, alafu ukaja kupoteza umaarufu wako, kama anavyopoteza Mbowe leo.

Kuanzia mwaka 2008 hadi 2015 Mbowe alikuwa na uwezo wa kujaza nusu ya uwanja wa mpira mkutanoni, alikuwa na uwezo wa kuitisha maandamano na migomo mpaka serikali ikatikisika, lkn leo hii akiandaa mkutano anajikuta yeye na chawa wake mwenyewe, akiitisha maandamano ya ukuta nk watu hawatokei alaf wewe unakuja kumtetea.

Hujajiuliza imekuaje akaachana na mikutano yake ghafla baada ya Makonda kuapishwa na kuahidi ku deal nae.

Wakati mungine uangalie na mtu wa kum defend. Mambo yako wazi kila mtu anayaona na kuyafatilia.
 
Atawekwa kama alivyowekwa hapo, kila kitu hutokea kwa sababu, Mama Mwenyekiti ana nguvu, na ninakuapia huyu ndio favourite kuliko wana CCM wote kwa sasa. Na mama anamkubali sana, lililo kubwa anaendana na wananchi, kwa jinsi anachapa kazi hadi tufike tamati ya uongozi wa mama , Makonda atakuwa keshadidimiza mizizi kwenye mioyo ya wananchi.

Hofu yangu ni ile team tu ya wale washua..
Yeah washua sidhani kama watamuacha salama!
 
Unapojifunza kuwa mnafiki kwa manufaa ya wengine lazima uwe hivi (uwe km mwendawazimu) kuwapa wengine credit wasizo stahili.

Aliwapima wangapi DNA mpaka akafanikisha hiyo no3?
Kipi bora kati kuwalipa walimu masilahi bora ili walipie nauli wenyewe na kuwadhulumu wamiliki wa magari haki yao ya kulipwa nauli ilihali wakilipa kodi?
Ushindwe
Tutapanda bure na tutaendelea kukumkubuka makonda.
 
Unaandika ujinga, eti aliteuliwa Kuwa Mkuu wa Wilaya Dar es Salama!

Kaarishe mama nitilie mkubwa wee! Makondo siyo level Yako we Chizi
 
Paul Albert Bashite Makonda al maarufu kama Bashite ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya Dar es salaam na badae kuwa mkuu wa Mkoa awamu ile ya Mkono wa Chuma na kutumbuliwa na Awamu hiyo hiyo kabla ya kupigwa kikumbo kabisa na awamu iliyofuata sasa awau hiyo hiyo imemrudishwa kwenye siasa :

Baada ya kurudishwa, amenza kazi vizuri hasa kwa kufanya ziara lakini ametishia kazi za Waziri Mkuu Majaliwa , ametishia kazi ya Dotto Biteko na pia anayishia kazi ya Katibu Mkuu/CEO wa CCM bwana Chongolo.

Team CCM mabadiliko vs Sukuma Gang ambayo inarudi kwa namna nyingine nayo inaonekana kutaka uwaziri mkuu 2025 lakini pia inaonekana mwaka 2025 kuna wanaotaka umakamu wa Rais na Uwaziri Mkuu, kila mtu anapambana kivyake.

Makonda amekuwa akitumia gharama kubwa kwenye chama kuliko hata anazotumia mwenyekiti wake, anatumia walinzi binasi zaidi ya nane, anatumia walinzi wa chama 5 na walinzi wa serikali ambao ni kinyume na sheria japo haijafhamika vizuri.

Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani yeye na mkewe amnbapo kipindi cha SHUJAA alikuwa kila bada ya muda anakwenda kula bata New York na Manhatan lakini sasa amepigwa ban na sababu ya kuwa black listed ni tuhumu za KUKATISHA MAISHA YA WATU

Makonda amekuwa akiingilia majukumu yasiyo yake:

Wakubwa zake wanajiuliza:

1. Nani kampa Makonda mamlaka ya kusikiliza kero za wananchi na kumwagiza Waziri atekeleze?

2. Nani kampa mamlaka ya kusikiliza kesi zilizopo Mahakamani na kuonyesha ku-side na upande mmoja bila kusikiliza upande wa pili lakini pia hata kusikiliza upande wa pili mamlaka hayo ni yake au ya mahakama?

3. Nani kampa mamlaka ya kufanya mikutano mida ya kazi wakati Magufuli alitumia mbinu hiyo kipindi akiwadhibiti akina Mbowe na Lissu, aliwaambia muda wa kazi kusiwe na mikutano na wao walirelax kufanya mikutano lakini kwa sasa Makonda muda wa kazi ndio.

4. Mpaka leo, kuvamia clouds TV, kashfa za viwanja na magari ya GSM ama hazijajibiwa ama wamefanya watanzania ni wasahaulifu.

5. Inasemekana aliwahi kutukana mama mjamzito, kumkashifu Chongolo na wengine wengi, hajawahi kuomba radhi hadharani.​
Achana na MAKONDA huyo sio level yenu,hizi sio tuhuma bali ni uzushi wa kijinga sana tena wakitoto

Miaka zaidi ya mitatu mmeshindwa kuifanyia kazi hata tuhuma moja tu dhidi yake?
Alikaa benchi muda wa miaka mitatu bila ya kinga yoyote,hakuwajibu kwa kashifa mlizoporomosha dhidi yake,

Kawa mwenezi mkasema kazi hiyo haiwezi,kaamsha mmeona isiwe tabu kila siku mnahamisha magoli

Sasa mmehamia kuchonganisha,watanzania ni laana kubwa hasa wewe mleta huu uzi
 
1. Walimu kutolipa nauli ni jukumu la WAziri wa Uchukuzi , huyu waziri anasimamia LATRA na waziri wa Elimu anayesimamia walimu [Bashite aliingilia majukumu yasiyo yake-uongozi mbovu].

2. Shisha inapigwa vita na nani, wapi imepigwa vita wakati Shoisha ni halali na inalipiwa kodi TRA, so long as mvutaji amefika miaka 18, tatizo lako dogo upo huko Namanyere ukiskia shisha unahis ni kitu marufuku.

3. Wanaume wanaotelekeza watoto alikuwa anmlenga mwanasiasa fulani na si kampeni, bahati mbaya alimkosa maana alipandikiza jimama liseme limezaa na huyo mwanasiasa, chuki chuki chuki na uzandiki: Jukumu la mtu kutelekezwa ni Ustawi wa Jamii na Mahakama za WAtoto na si Mkuu wa Mkoa, yeye anaweza kusikiliza pande mbili na kupokea ushahidi na kutoa hukumu? Mamlaka hayo amepewa na sheria ipi?
Wacha upuuzi wewe!
Sasa kama hao walishindwa kutimiza majukumu yao ulitegemea MAKONDA kama mkuu wa mkoa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Dar ,akae kimya?
Alifannya kwa sehemu yake na alifaninkiwa sana tu,
Acha wivu wa kimama dogo
 
Back
Top Bottom