Lukonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,469
- 2,086
Suala kubwa ni kubadili mentality ya watoa huduma wetu, waone kuwa tunahitajiana wote. Si kuwa shirika halina shida bali wateja ndo wanaohitaji shirika zaidi.
Kama ulivyojitokeza na kutoa majibu hapa, inaonyesha utayari wa kutoa huduma kwa mteja. Hongera kwako.
Pamoja na matatizo yetu ya kutojitosheleza kwa mahitaji kutoka kwenye shirika, kutoa jibu mwafaka kwa wakati bila kona kona/njoo kesho/ nenda kwa huyu naye anakurudisha pale au maelezo halisia ni muhimu kwa mhitaji.
Nakuja PM