Mtazamo: Taasisi na mashirika ya Serikali ambayo yana huduma mbovu kwa wateja Tanzania

Mods njooni Tanesco wamevamia humu
 
Bwana TANESCO hii ni siasa unaleta
Kukatika umeme hovyo ndiyo maboresho?
Inachukua mda gani toka kulipia mpaka kuunganishiwa umeme?
 
  1. NEMC wameshindwa kudhibiti kelele chafuzi na mitetemo wakisingizia hawana askari wa kuwakamata wahusika
  2. TBS wameshindwa kudhibiti bidhaa fake madukani
  3. LATRA wameshindwa kudhibiti nauli holela kwenye mabasi
  4. PCCB wameshindwa kabisa kuwakamata traffic polisi wanaokula rushwa waziwazi barabarani, raia wanaona PCCB hawaoni
 
Namba zenu za huduma kwa wateja pamoja na emergency mmehakikisha zinafanyakazi zote? Nyingi ya namba hizo ni unreachable
 
Namba zenu za huduma kwa wateja pamoja na emergency mmehakikisha zinafanyakazi zote? Nyingi ya namba hizo ni unreachable
Tafadhali tujulishe ni namba ipi unaikosa, tunakusihi kutumia namba 0748550000
 
Tafadhali tujulishe ni namba ipi unaikosa, tunakusihi kutumia namba 0748550000
Kwa mkoa gani

Kuna orodha ndefu ya namba za Regional Managers mlitoa, hiyo ndiyo watanzania wengi wanaifuata na wanakosa huduma kwakuwa namba hizo nyinhi dead
 
Kwa mkoa gani

Kuna orodha ndefu ya namba za Regional Managers mlitoa, hiyo ndiyo watanzania wengi wanaifuata na wanakosa huduma kwakuwa namba hizo nyinhi dead
Tafadhali tumia hii tutakuhudumia
 
Asilimia kubwa huwa ni vidada na ukichunguza kama ni mwanaume ni waliokuja mjini wakubwa.
Nadra Sana kukuta police aliyezaliwa na kukulia mjini akawa mnoko.
 
Asilimia kubwa huwa ni vidada na ukichunguza kama ni mwanaume ni waliokuja mjini wakubwa.
Nadra Sana kukuta police aliyezaliwa na kukulia mjini akawa mnoko.
Halafu vingi vina sura za chuma cha pua
 
Ni uongo. Watu wa Kibaha, eneo la Pangani tulileta maombi ya umeme tokea mwaka jana mpaka sasa hatujapewa huduma. Miezi mingi imepita tunaendelea kutumia vibatari. Tanesco ni jipu hapa nchini. Wananchi wanawalalamikia lakini hamtaki kujirekebisha. Mmeweka pamba masikioni. Mnaendelea kufanya kazi kwa mazoea
 
hivi wale wanao toa hati za kusafiria maarufu kama (PASSPORT) [emoji118](English) hivi wale ni shirika,idara au kitengo katika wizara ya mambo ya ndani? wale nao wanazingua sana maswali ni mengi sana [emoji22] ikitokea umeenda kuomba PASSPORT wakati ni haki ya mwananchi ile.Ndio maana Tz tunaambiwaga sisi ni woga hatutoki nje kutafuta miaka yote tupo home tu kumbe watu wanaghairi sababu upatikanaji wa vielelezo kama hivyo ni mtihani. [emoji706]
 
6
6. Rita
7. Uhamiaji
 
Sina maslahi na TANESCO ila wameanza jielewa...
Nchi yetu huduma kwa wateja ni mbovu sana, hatujafundishwa kumjali mteja, haya mashirika na hizi taasisi zinasumbuka sababu waajiriwa wake wana mikataba ya kudumu, kifo ndio humuondoa mtu kazini.

Serikali inapaswa badilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…