Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #81
Ulimwengu una falme mbiliNi vipi basi apange mabaya na afanikiwe na ikiwa Mungu hakupanga hilo jambo baya?
Ufalme wa mbingu ambao tunaita wa Kimungu
Ufalme wa mkuu wa anga.. Ambao uko chini ya Mbingu
Kwa kila tendo hapa duniani ni lazima litoke kati ya mojawapo ya hizo falme mbili
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app