Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Uzi mzuri sana nikae kusikiliza nondo za watabe. Lakini bahati mbaya washakuja usa babies wao wanachambua kwa mazoea na mahaba tu badala ya kuangalia uhalisia,kisa usa kashikwa kende.

USA ni super power kama zilivyowahi kuwepo zingine nyingi miaka ya nyuma, lakini zilianguka na wala mwisho wa dunia hatukuwahi kuusikia na wala maisha hayakutikisika kamwe.
 
Mkuu, huyu ni wewe?
Kama si wewe nani amemuiga mwenzie?
 

Attachments

  • IMG_8125.png
    IMG_8125.png
    65.7 KB · Views: 5
Aisee hili ni tatizo nini sasa hiki umeandika
Usipate tabu. Usipoelewa kitu, acha kama kilivyo.

Endelea kuamini kama lipo taifa kati ya hayo uliyoyataja litakalokuja kuchukua nafasi ya Marekani. That simple.
 
Urusi hawezi kuigusa Poland kwa sasa. Licha ya kuwa ni mwanachama wa NATO, Poland imeboresha jeshi na ina vifaa bora kabisa vya kijeshi. Urusi ameanza kupata wasiwasi kwa nini Poland anataka kuunda biggest army in the world. Poland ameshaota pembe, hivyo Mrusi atulie.

Russia walitaka kujiunga NATO wakakataliwa, hivyo wanaamini NATO ndio inataka kuivamia Urusi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hujui historia ACHA uongo, Urusi iombe kujiunga na NATO iliiweje?
 
Wewe ndio huelewi dunia inaendaje. Marekani sio taifa la “kikabila”; inashikiliwa na wadau na wataalamu toka dunia nzima chini ya magenius maalum. Wako Wayahudi, Warusi, Wachina, Wahindi, Waarabu, Wajapan, Waajemi, Wajerumani, Waingereza, n.k. Hakuna anayetaka wala kuweza kuiangusha.

Sana sana watu wanagombania nafasi ya kuiiongoza Marekani kama ilivyo. Si rahisi kuisuka nchi ikaendeshwa na “MFUMO” tu kama ilivyo Marekani. Kasome mikakati ya “systems” labda ndipo utaielewa Marekani. Nchi zinazoongozwa kidikteta haziwezi kuchukua nafasi ya Marekani zikaaminika kushikilia nguzo kuu za uchumi na usalama wa dunia. Itakuwa chaos from day one.

Katika hizo nchi ulizozitaja, Iran ndiyo tofauti. Wao hawana interest na maisha ya duniani. Hivyo kuanguka kwa Marekani ndiyo kuanguka kwa dunia na mwisho wake. Wao wanawaza maisha ya peponi tu. Hao ndio kweli wanataka sana anguko la Marekani. Sio hao wengine wenye hamu kubwa ya maisha mazuri hapa duniani.
we kima Russia mwenyewe ashawahi kuwa superpower alidrop uwo mwishi wa dunia ulitokea?
 
Tangu dunia imeanza kumekuwa na “tribal nations” na tawala za kifalme baadaye republics lakini bado za kikabila zaidi. Dola za Waajemi, Warumi, Ottoman, n.k.

Marekani sio dola ila ndio taifa pekee unaloweza kuliita “taifa la dhana mpya” (concept nation) liliowazi kwa watu wa mataifa yote waliopania kuiishi “ndoto ya Marekani” (the American Dream).

Bado hawajafanikiwa kuweka sawa misingi yote ya hiyo dhana lakini wamefikia hatua ya kuvutia mamilioni ya watu wa mataifa yote kutaka kuhamia huko, kusoma huko, kununua majengo huko, kuweka matrilioni ya dola huko na kununua hati fungani za hazina ya Marekani. China ina hatifungani za dola karibia bilioni 900.

Sasa sijui nani anaweza kuwa mbadala wa hilo concept nation. Kama sijaeleweka just ignore me.
 

View: https://twitter.com/TuckerCarlson/status/1755734526678925682?t=UwfeRAPB-CHAYR0o6V6Jig&s=19

-Putin anajua historia sana
-Putin anaendesha ndege ya kiakili juu ya wanasiasa wote wa Amerika
-Putin anaonekana kutaka ushirikiano lakini nchi za Magharibi zimeitenga Urusi
-Putin hataki kuivamia Poland au kutwaa ulimwengu
-Putin sio mpiga vita aliyechanganyikiwa na MSM inamuelezea kama
-Putin anaifahamu vyema "Deep State" na anaitambua CIA kuwa ni wachafu

Nilitamani sana kuona Putin akielezea kwa undani juu ya kuzorota kwa jamii ya Magharibi, uendawazimu wa kijinsia, nk, kwa sababu nadhani ingehusiana na Watu wa Amerika. Historia kuhusu Unazi wa Kiukreni itakuwa na ufanisi na mazungumzo yake ya "denazification" hakika yatavutia.

bila shaka nilitaka Tucker amuulize Putin kuhusu biolabs nchini Ukraine, lakini kama nilivyoeleza jana, mada hii inaweza kuwa mbali sana na kuruka shimo la sungura kwa wale wapya kwenye ulimwengu huu. mahojiano haya yalionekana kuwa utangulizi wa hisia ya kwanza ya kukata rufaa kwa raia wa Magharibi na kukanusha mtazamo ulioundwa na MSM wa Putin.

Mtu yeyote ambaye alitazama mahojiano hayo bila upendeleo atalazimika kukubaliana kwamba Putin sio yule mnyama tuliyeambiwa alikuwa, na mazungumzo yanaweza kufanywa ikiwa kuna uwezo kutoka kwa uongozi wa Amerika.

Kwa matumaini hii itabadilisha mtazamo wa Marekani kuwa wapenzi wasio na hatia katika mzozo huo, na hatimaye inaweza kusababisha ufahamu mkubwa kwamba Marekani/NATO ndio walioleta vita na silaha kwenye mlango wa Urusi kupitia ujasusi na mapinduzi ya rangi ya CIA.

Umeshiba propaganda za Kirusi.

'Denazification' ni propaganda tu zisizo na ukweli, hao manazi wapo hata ndani ya Urusi.
 
Did he say “who” exactly are CIA?

Well, he’s damn right, the POTUS CANNOT run the US. Still, he can appoint the D/CIA and other national intelligence bosses.
Mzee Putin anaamini sana kwenye deep state.

Hata 'deep state' ya Urusi (kama kweli ipo) imeshadhibitiwa na Putin
 

View: https://twitter.com/TuckerCarlson/status/1755734526678925682?t=UwfeRAPB-CHAYR0o6V6Jig&s=19

-Putin anajua historia sana
-Putin anaendesha ndege ya kiakili juu ya wanasiasa wote wa Amerika
-Putin anaonekana kutaka ushirikiano lakini nchi za Magharibi zimeitenga Urusi
-Putin hataki kuivamia Poland au kutwaa ulimwengu
-Putin sio mpiga vita aliyechanganyikiwa na MSM inamuelezea kama
-Putin anaifahamu vyema "Deep State" na anaitambua CIA kuwa ni wachafu

Nilitamani sana kuona Putin akielezea kwa undani juu ya kuzorota kwa jamii ya Magharibi, uendawazimu wa kijinsia, nk, kwa sababu nadhani ingehusiana na Watu wa Amerika. Historia kuhusu Unazi wa Kiukreni itakuwa na ufanisi na mazungumzo yake ya "denazification" hakika yatavutia.

bila shaka nilitaka Tucker amuulize Putin kuhusu biolabs nchini Ukraine, lakini kama nilivyoeleza jana, mada hii inaweza kuwa mbali sana na kuruka shimo la sungura kwa wale wapya kwenye ulimwengu huu. mahojiano haya yalionekana kuwa utangulizi wa hisia ya kwanza ya kukata rufaa kwa raia wa Magharibi na kukanusha mtazamo ulioundwa na MSM wa Putin.

Mtu yeyote ambaye alitazama mahojiano hayo bila upendeleo atalazimika kukubaliana kwamba Putin sio yule mnyama tuliyeambiwa alikuwa, na mazungumzo yanaweza kufanywa ikiwa kuna uwezo kutoka kwa uongozi wa Amerika.

Kwa matumaini hii itabadilisha mtazamo wa Marekani kuwa wapenzi wasio na hatia katika mzozo huo, na hatimaye inaweza kusababisha ufahamu mkubwa kwamba Marekani/NATO ndio walioleta vita na silaha kwenye mlango wa Urusi kupitia ujasusi na mapinduzi ya rangi ya CIA.

Putin sio kichaa anapambana na wahuni wenzake.

Siku zote anawaita our patners, wenzetu, washirika wetu. Hana jazba, anatambua uwezo wa maadui wake, anawaheshimu.

Nafikiri anachotaka ni kuheshimiwa yeye na nchi yake kuheshimiwa kama Taifa kubwa lenye nguvu, hataki kuzungukwa na USA na washikaji wake kama USA asingevyotaka kuzungukwa na nchi kama China au Urusi.
 
Mzee Putin anaamini sana kwenye deep state.

Hata 'deep state' ya Urusi (kama kweli ipo) imeshadhibitiwa na Putin
Watu wajiulize: huko Marekani Putin anatarajia kupambana na kiongozi gani hasa? Amekuwa Rais wa Russian Federation tangu 2000 Bill Clinton akiwa Rais wa US. Wamepita GW Bush, B Obama, D Trump na Sasa J Biden. Yeye yupo tu. Hadi leo kawa Rais kwa miaka karibia 20!

Nchi inamtegemea mtu mmoja tu halafu ndio iweze kushindana na mfumo madhubuti wa US? Lazima ahangaike sana. Na jioni (uzee) ndio imeanza kuingia. Wakizubaa Urusi itabakia weak sana kupita 1990s enzi za Boris Yeltsin.
 
Tangu dunia imeanza kumekuwa na “tribal nations” na tawala za kifalme baadaye republics lakini bado za kikabila zaidi. Dola za Waajemi, Warumi, Ottoman, n.k.

Marekani sio dola ila ndio taifa pekee unaloweza kuliita “taifa la dhana mpya” (concept nation) liliowazi kwa watu wa mataifa yote waliopania kuiishi “ndoto ya Marekani” (the American Dream).

Bado hawajafanikiwa kuweka sawa misingi yote ya hiyo dhana lakini wamefikia hatua ya kuvutia mamilioni ya watu wa mataifa yote kutaka kuhamia huko, kusoma huko, kununua majengo huko, kuweka matrilioni ya dola huko na kununua hati fungani za hazina ya Marekani. China ina hatifungani za dola karibia bilioni 900.

Sasa sijui nani anaweza kuwa mbadala wa hilo concept nation. Kama sijaeleweka just ignore me.
Ndiyo huwa nawaza eti mtu anataka U.S.A ianguke halafu watu wataenda kula bata wapi eti?
 
Watu wajiulize: huko Marekani Putin anatarajia kupambana na kiongozi gani hasa? Amekuwa Rais wa Russian Federation tangu 2000 Bill Clinton akiwa Rais wa US. Wamepita GW Bush, B Obama, D Trump na Sasa J Biden. Yeye yupo tu. Hadi leo kawa Rais kwa miaka karibia 20!

Nchi inamtegemea mtu mmoja tu halafu ndio iweze kushindana na mfumo madhubuti wa US? Lazima ahangaike sana. Na jioni (uzee) ndio meanza kuingia. Wakizubaa Urusi itabakia weak sana kupita 1990s enzi za Boris Yeltsin.
Putin anaamini yeye pekee ndiye mwenye uwezo wa kuilinda Urusi dhidi ya ubeberu wa madola ya magharibi hasa Marekani (kosa kubwa hilo).

Ule uasi mfupi wa Wagner ulionyesha namna Urusi isivyokuwa na udhibiti kamili wa kiutawala na kisheria. ....ni taifa kubwa tajiri wa rasilimali ila limekosa uongozi mzuri.

Putin akiondoka, Warusi wasipokuwa makini ni rahisi kuwepo Vita ya kugombea madaraka au mgawanyiko miongoni mwa Idara za Usalama, Jeshi na Oligarchs.

T14 Armata
 
Putin anaamini yeye pekee ndiye mwenye uwezo wa kuilinda Urusi dhidi ya ubeberu wa madola ya magharibi hasa Marekani (kosa kubwa hilo).

Ule uasi mfupi wa Wagner ulionyesha namna Urusi isivyokuwa na udhibiti kamili wa kiutawala na kisheria. ....ni taifa kubwa tajiri wa rasilimali ila limekosa uongozi mzuri.

Putin akiondoka, Warusi wasipokuwa makini ni rahisi kuwepo Vita ya kugombea madaraka au mgawanyiko miongoni mwa Idara za Usalama, Jeshi na Oligarchs.

T14 Armata
Shambulizi la Bunge la January 6 linaonesha uimara wa marekani ?

Hivi unafahamu marekani imegawanyika katika democrats na Republican ni rahisi sana kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa aina hizi za siasa
 
Shambulizi la Bunge la January 6 linaonesha uimara wa marekani ?

Hivi unafahamu marekani imegawanyika katika democrats na Republican ni rahisi sana kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa aina hizi za siasa
Mgawanyiko kwenye siasa ni kawaida Sana.

hapo kwenye Vita vya wenyewe kwa wenyewe thibitisha hilo.
 
Back
Top Bottom