Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Hakuna mgawanyiko wa kawaida kwenye siasa unaotishia mpaka usalama wa muhimili wa bunge katika mihimili inayo unda serikali
Wale wahuni wachache wa Trump hawakuwa na kitisho hicho unachoandika hapa
 
Wale wahuni wachache wa Trump hawakuwa na kitisho hicho unachoandika hapa
Wale wahuni wachache wa Trump na kwa nini wafuasi chama kikubwa cha siasa marekani uwaite mahuni ?

Wagner ambao wewe uliona ni tishio zaidi kwa Russia walikuwa wanafika hata million ?

Kwani nchi kuingia katika mgogoro na mpalanganyiko ina hitajika watu wawe wangapi ?
 
Wale wahuni wachache wa Trump na kwa nini wafuasi chama kikubwa cha siasa marekani uwaite mahuni ?

Wagner ambao wewe uliona ni tishio zaidi kwa Russia walikuwa wanafika hata million ?

Kwani nchi kuingia katika mgogoro na mpalanganyiko ina hitajika watu wawe wangapi ?
Huwezi kufafanisha uhuni wa Republican vichaa wa Trump na uasi wa mamluki wa Wagner.

Hayo ni mambo tofauti kabisa hata hayana mfanano wowote ule.
 
Huwezi kufafanisha uhuni wa Republican vichaa wa Trump na uasi wa mamluki wa Wagner.

Hayo ni mambo tofauti kabisa hata hayana mfanano wowote ule.
Mgomo wa kutii amri ya Waziri wa ulinzi na kuvamia bunge ili kubatilisha matokeo ya serikali halali na kuweka serikali mnayotaka ninyi kipi ni kitendo kibaya zaidi ?
 
False narrative!

What are those "other agencies"? That should have been a follow-up question from Tucker.

Practically and constitutionally, the US federal government comprises 3 distinct branches. The US presidency is part of the executive branch of the federal government. Therefore, the president is one of the agencies that run the country or the federal government of the United States.
Wewe unazungumzia vijitabu vinasema nini, Putin yeye anazungumza inner stuffs how do they operate off books. Sikiliza utulie hao wanaijua dunia tofau na wewe au mimi
 
Wewe unazungumzia vijitabu vinasema nini, Putin yeye anazungumza inner stuffs how do they operate off books. Sikiliza utulie hao wanaijua dunia tofau na wewe au mimi
Putin anazungumza conspiracy theories ambazo wewe unaziita "inner stuffs". Ndio maana nimetaka kufahamu kwamba hizo "other agencies" ni zipi?

Kauli ya Putin ni ya kimkakati na inalenga kuifaidisha aina fulani ya watazamaji na wasikilizaji (audience).

Mara kadhaa ametoa kauli zinazoendana na imani, mawazo au fikra (narratives) za baadhi ya watu na makundi ya kisiasa ya upinzani nchini Marekani hususani MAGA Republicans, ndani yake akiwemo mwandaaji wa mahojiano, Tucker Carlson.
 
Inaonekana wewe hujui ni kwa nini Nato iliundwa pamoja na madhumuni ya undwaji wake kiujumla. Wewe ni walewale wanaotumia dira ya kidini kama mwongozo wa kimtizamo.
We jamaa udini unakumaliza.
Unaweza ukathibitisha huyo jamaa kama kaleta mtazamo wa kidini??
Kwa hii akili yako tuombe kizazi chako kisirithi.
 
Tangu dunia imeanza kumekuwa na “tribal nations” na tawala za kifalme baadaye republics lakini bado za kikabila zaidi. Dola za Waajemi, Warumi, Ottoman, n.k.

Marekani sio dola ila ndio taifa pekee unaloweza kuliita “taifa la dhana mpya” (concept nation) liliowazi kwa watu wa mataifa yote waliopania kuiishi “ndoto ya Marekani” (the American Dream).

Bado hawajafanikiwa kuweka sawa misingi yote ya hiyo dhana lakini wamefikia hatua ya kuvutia mamilioni ya watu wa mataifa yote kutaka kuhamia huko, kusoma huko, kununua majengo huko, kuweka matrilioni ya dola huko na kununua hati fungani za hazina ya Marekani. China ina hatifungani za dola karibia bilioni 900.

Sasa sijui nani anaweza kuwa mbadala wa hilo concept nation. Kama sijaeleweka just ignore me.
Umeandika nadharia nyingi sana zinazokinzana na uhalisia.
Hiyo USA kuna nchi kibao wanatamani ianguke na sasa hivi kama kutamani maisha mazuri kuna mataifa mbadala na USA ambayo watu wanatamani kuishi kwenye maisha bora zaidi kuliko USA.
Unatakiwa utizame contemporary geopolitical conditions ikoje.
Siasa ama diplomasia ya sasa tofauti na ya zamani.
Hiyo USA sasa hivi inachukiwa kwa kulazimisha mataifa yaendane na sera zake kiasi inaingilia sovereignty ya mataifa mengine.
Pia hiyo USA watu sasa hivi hawaitamani kwa kuzidi ubaguzi na kutokuwepo na amani ya ndani.
Umeongea nadharia za miaka ya nyuma sana,dunia imebadilika sana sasa hivi hizi nadharia zako ni outdated.
 
Ndiyo huwa nawaza eti mtu anataka U.S.A ianguke halafu watu wataenda kula bata wapi eti?
Kuna mataifa kibao ya kula bata.
Acheni hizi nadharia za kusema bata linalika Imperial nations peke yake.
Hizo imperial nations zenyewe kwasasa zinataabika kwa mass unemployment na matatizo mengine ya kiuchumi.
 
US sanctions are leading to dedollarization and rise of Chinese yuan — Vladimir Putin:

🔹“The dollar is the cornerstone of US power. However, the weaponization of USD is a grave mistake. Now even US allies are getting rid of dollar in their foreign exchange reserves.

In early 2022, US dollar accounted for 50% of our transactions with other countries. Now, it’s down to 13%.

70% of our current transactions are in rubles and yuan.

Other countries are also now considering selling oil for yuan.”

Do you even realize what you’re doing? You are killing the dollar with your own hands.”
Kwa nini Putin anawastua Marekani kwamba wanaharibu Dola yao wenyewe? Kwa nini asinyamaze kimia ife yenyewe? Putin mwenyewe hataki kuona Dolar inakufa, hana imani na Yuan ya China.
 
Kuna mataifa kibao ya kula bata.
Acheni hizi nadharia za kusema bata linalika Imperial nations peke yake.
Hizo imperial nations zenyewe kwasasa zinataabika kwa mass unemployment na matatizo mengine ya kiuchumi.
Unaweza kwenda kula bata Beijing au Moscow?
Utakula bata lipi huko wakati muziki mzuri, NBA, Football, sinema na starehe nyingine zote unazozijua viko USA na Ulaya.
 
Urusi hawezi kuigusa Poland kwa sasa. Licha ya kuwa ni mwanachama wa NATO, Poland imeboresha jeshi na ina vifaa bora kabisa vya kijeshi. Urusi ameanza kupata wasiwasi kwa nini Poland anataka kuunda biggest army in the world. Poland ameshaota pembe, hivyo Mrusi atulie.
Unafahamu Poland ilishawahi kupigwa zaidi ya mara 2 na Urusi?

Hata kwa sasa hivi Poland hamuwezi Russia na wao wenyewe wanajua.
 
Ukraine jeshi alilokuwa nalo linaweza pigwa hata na Misri, utabisha. Poland na Finland haziwezi pigwa na Ukraine ile ya kabla ya vita. Sembuse kwa sasa Poland imekuza jeshi kwa fujo.

Ukraine hana hata meli moja ya kivita ndio unataka umlinganishe na Poland. Ukraine hana airlifters, hana aerial refueling capability, hana airtoopers, hana submarines. In fact hata jeshi la Algeria linaipiga Ukraine ile iliyovamiwa na Urusi.
Wewe Nawe unatuchosha tuu Bila sababu.........ulikuwa unapigia upatu jeshi la ukraine kutuaminisha kuwa Ni Bora Sana na dubu atakalishwa ,leo unageuka kulikana Kisa tuu umeona ulichokuwa unakitegemea hakiwezi kutokea na umehamisha magoli

Mvua Bado zinanyesha badala ya kupalilia mpunga wako unakuja kuleta fujo kwanza hizo nguvu na wakati wa kuingia jf unatoa wapi.....rudi unapojifichaga
 
Umeandika nadharia nyingi sana zinazokinzana na uhalisia.
Hiyo USA kuna nchi kibao wanatamani ianguke na sasa hivi kama kutamani maisha mazuri kuna mataifa mbadala na USA ambayo watu wanatamani kuishi kwenye maisha bora zaidi kuliko USA.
Unatakiwa utizame contemporary geopolitical conditions ikoje.
Siasa ama diplomasia ya sasa tofauti na ya zamani.
Hiyo USA sasa hivi inachukiwa kwa kulazimisha mataifa yaendane na sera zake kiasi inaingilia sovereignty ya mataifa mengine.
Pia hiyo USA watu sasa hivi hawaitamani kwa kuzidi ubaguzi na kutokuwepo na amani ya ndani.
Umeongea nadharia za miaka ya nyuma sana,dunia imebadilika sana sasa hivi hizi nadharia zako ni outdated.
USA haina uwezo wa kulazimisha nchi yeyote kufuata sera zake wala kuingilia sovereignty yake kama iko makini.

Ni ujinga wa viongozi na wananchi wa hizo nchi kuendekeza utegemezi kwa US na washirika wake.

Nchi zinaendekeza viongozi mafisadi wasiokuwa makini kusimamia maendeleo yao kutwa kuchwa wako busy kutafuta misaada na mikopo nafuu halafu watarajie kuwa salama mbele ya super donor. Lazima wapewe masharti magumu. Ukishindwa kujitegemea ukajilegeza kwa masponsor lazima uhuru wako uwe mashakani. Ndio tatizo la nchi nyingi za Afrika hadi leo.

Kama nadharia zangu zimepitwa na wakati, sawa, isiwe tabu. Muda utaweka ukweli wazi.
 
Kuna mataifa kibao ya kula bata.
Acheni hizi nadharia za kusema bata linalika Imperial nations peke yake.
Hizo imperial nations zenyewe kwasasa zinataabika kwa mass unemployment na matatizo mengine ya kiuchumi.
Ni mataifa gani hayo, kama ni ya kiarabu sio kweli waarabu wengi wanakimbilia Marekani na nchi zingine za magharibi. Wachina wamejaa Marekani hadi wana miji inaitwa China Town.

Nchi inayoongoza duniani kwa visa yake kuombwa na watu wengi ni Marekani, zaidi ya watu milioni mia moja huomba kwenda Marekani kila mwaka.

Pesa ambayo Marekani inapata kwa mwaka kutokana na malipo hayo ya visa inatosha kuendesha wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo kwa mwaka tena na kubaki.

Hapa duniani katika kila watu watano wanne wanatamani kwenda Marekani na wengi wako radhi kuhatarisha maisha yao ili mradi tu wafike Marekani na hata hao waarabu waliowaletea dini hawapendi kabisa kwenda Russia, sijui Iran wala China bali wanapenda kwenda na kuishi Marekani.

Kipindi Trump akiwa rais alipotoa agizo kupunguza waislam kwenda Marekani waarabu walilia kama watoto wadogo
 
Tangu dunia imeanza kumekuwa na “tribal nations” na tawala za kifalme baadaye republics lakini bado za kikabila zaidi. Dola za Waajemi, Warumi, Ottoman, n.k.

Marekani sio dola ila ndio taifa pekee unaloweza kuliita “taifa la dhana mpya” (concept nation) liliowazi kwa watu wa mataifa yote waliopania kuiishi “ndoto ya Marekani” (the American Dream).

Bado hawajafanikiwa kuweka sawa misingi yote ya hiyo dhana lakini wamefikia hatua ya kuvutia mamilioni ya watu wa mataifa yote kutaka kuhamia huko, kusoma huko, kununua majengo huko, kuweka matrilioni ya dola huko na kununua hati fungani za hazina ya Marekani. China ina hatifungani za dola karibia bilioni 900.

Sasa sijui nani anaweza kuwa mbadala wa hilo concept nation. Kama sijaeleweka just ignore me.
Dora sijui tawala ni wale wale, Kila kitu na zama zake, ilikuwepo vikings,Rumi, Persia, Ottoman, Ufaransa Uingereza Hispania Ureno na makoloni yao. Sasa hivi .ukoloni umerudi Kwa jina la washirika wa Marekani.. Sasa shida Iipo Kwa baadhi ya nchi zinapokataa neo colonialism ya Marekani. Ndo kama vile Urusi, Irani China etc zinapigwa vikwazo na majina ya ugaidi yanapewa
 
Back
Top Bottom