Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa

Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa

Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k

Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
 
Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa

Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa

Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k

Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
Tefa ametumia mbeleko zote leo bahasha fc imeshindikana!
 
Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa

Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa

Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k

Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
downloadfile-1.jpg
 
Back
Top Bottom