Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

Mechi zote mbili mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM kwa hiyo hoja iko pale pale.

Tena sana sana hoja imepata uzito zaidi kwa kuona kumbe mnafungika kirahisi mkicheza na timu ambazo hamna vinasaba nazo.
 
5imba tulio ifunga mara nne mfululizo, inadhaminiwa na GSM ya wapi.
Yanga bingwa
Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?
 
Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?
5imba inadhaminiwa na GSM ya wapi?
Mbona kafungwa vizuri tu
 
20241107_220837.jpg
 
Manara saivi anachekea chooni 😬😬😬
Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa

Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa

Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k

Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
 
Back
Top Bottom