Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Braza unajua mpira wewe kweli?Maneno ya mkosaji hata leo mmepewa penati ya bure kabisa
Ile ni penati ya bure ile??.
#YNWA.
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Braza unajua mpira wewe kweli?Maneno ya mkosaji hata leo mmepewa penati ya bure kabisa
😮 😲 😯 🫢Labda kushinda njaa
hapa tabora walikuwa hawana wachezaji wao 8
Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?5imba tulio ifunga mara nne mfululizo, inadhaminiwa na GSM ya wapi.
Yanga bingwa
5imba inadhaminiwa na GSM ya wapi?Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?
Usichoelewa nini? Usiku wako mrefu sana huu bwashee5imba inadhaminiwa na GSM ya wapi?
Mbona kafungwa vizuri tu
mh kumbe endelea kujifariji mkuuMe ni mwana michezo
Huwezi kushinda kila mechi
Tumefungwa, tumekubali
Tutarudi imara zaidi mechi ijayo
Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa
Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa
Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k
Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
😆😆😆 Ila makolo