Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Bora tu hata hiyo penati alikosa kwani maneno yangekuwa mengi sana na walishaanza kusema uzuri Aziz K alikosa.Maneno ya mkosaji hata leo mmepewa penati ya bure kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora tu hata hiyo penati alikosa kwani maneno yangekuwa mengi sana na walishaanza kusema uzuri Aziz K alikosa.Maneno ya mkosaji hata leo mmepewa penati ya bure kabisa
Toka kayoko afungiwe sahivi mnashinda njaa tuVisingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa
Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa
Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k
Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
We Jamaa ndiye hirizi kuu ya Makoloko, ukilalamika tu kabla ya Yanga kucheza lazima Wachezaji waumie, wafungwe na Refa kuwa mwiba kwa Yanga.Tefa ametumia mbeleko zote leo bahasha fc imeshindikana!
Kumuelewesha Mbumbumbu lazima kwanza uvute bangi ndipo muende sawa.Braza unajua mpira wewe kweli?
Ile ni penati ya bure ile??.
#YNWA.
#YANGA_BINGWA
Tulia wewe SINDANO ZA KUONGEZA NGUVU FCKumuelewesha na Mbumbumbu lazima kwanza uvute bangi ndipo muende sawa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work
Nauza yanga mbovu na chuma chakavuhapa tabora walikuwa hawana wachezaji wao 8
Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!We Jamaa ndiye hirizi kuu ya Makoloko, ukilalamika tu kabla ya Yanga kucheza lazima Wachezaji waumie, wafungwe na Refa kuwa mwiba kwa Yanga.
Siku ukihama tu Makolokolo lazima Yanga ishinde mechi zote.
Yanga Bingwa
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kwa iyo na Simba anadhaminiwa na Gsm?Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?
Bebwa nawe Makolokolo Mwandamizi ili roho yako ipasuke,Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!
Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!
Umesahau kwamba unayeshindana nae yupo juu kabisa kwa point moja. Na yeye akiendeleza vipigo unadhani mwisho wa msimu kitatokea nini?Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa
Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa
Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k
Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
Hakuna timu duniani inaweza kuweka mtego wa kijinga la huu wa kuruhusu kupoteza mechi,Sasa kama ni mtego kwanini wanafanya vikao vya dharura baada ya kufungwa.Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa
Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa
Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k
Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
Umeandika upuuziupuuzi mtupu.Ninyi mnafungwa na malaika tu.Visingizio vilizidi, naamini Sasa Kwa huu mtego tulioutega wabaya wamenasa
Lawama za GSM anadhamini timu nyingi, Yanga ananunua mechi, Kujidunga shindano, Kuhonga marefa
Sasa mmeona wenyewe Yanga tunafungwa mara mbili mfululizo. Tumepewa kasi zimetugharimu Majeraha n.k
Haya yote yametokea ligi ikiwa inaanza.Tukianza kushinda hatutaki kelele tena
Hajafungiwa acha uwongoToka kayoko afungiwe sahivi mnashinda njaa tu