Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

Toka kayoko afungiwe sahivi mnashinda njaa tu
 
Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!
 
Tubaki kwenye hoja mzee wa masindano. Msimu huu mmefungwa mechi mbili na zote mmefungwa na timu ambazo hazina udhamini wa GSM halafu kwa wenge ulilonalo unakuja kusema eti hoja ya udhamini wa GSM kwa timu 8 imekufa. How? Which?
Kwa iyo na Simba anadhaminiwa na Gsm?
 
Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!
Bebwa nawe Makolokolo Mwandamizi ili roho yako ipasuke,
Jitu linakuwa na roho za husuda kuliko hata sheitwani mwenyewe 🤔😁

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Refa kawabeba kiasi kikubwa nitashuka na uzi wake kuwaelezea waajiri wake alivyoubomoa mchezo wa leo yanga hakuna kadi zote tabora!
 
Kayoko FC hamna ubavu wa kumfunga yeyote bila usaidizi wa marefa.Bila kubebwa hamshindi.Leo Refa kashindwa kukataa pakiti ya Rough Rider kwa sababu goli zote 3 hazina mtafaruku wa offside wala kusukumana.
Hata penalty ya mchongo mliopewa ni dhuluma tu.Body to body tokea lini ikawa penalty?
 
Umesahau kwamba unayeshindana nae yupo juu kabisa kwa point moja. Na yeye akiendeleza vipigo unadhani mwisho wa msimu kitatokea nini?
 
Hakuna timu duniani inaweza kuweka mtego wa kijinga la huu wa kuruhusu kupoteza mechi,Sasa kama ni mtego kwanini wanafanya vikao vya dharura baada ya kufungwa.
 
Umeandika upuuziupuuzi mtupu.Ninyi mnafungwa na malaika tu.
 
Umeandika pumba tupu,nilikuwa nakuona ni mtu wa football kumbe hamna kitu,ety ufungwe alafu uanze kusema tunabalansi mzani,ety watu wasiseme kuhusu gsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…