Mtego umewanasa, Yanga tukianza kushinda hatutaki visingizio

Yanga bila bahasha ni kichapo tu
 
Umesahau kwamba unayeshindana nae yupo juu kabisa kwa point moja. Na yeye akiendeleza vipigo unadhani mwisho wa msimu kitatokea nini?
Hatuna mashindano
Muda utaongea
Yanga bingwa
 
Hata jana mlijaribu kubebwa kwa kupewa faul za ajabu, hata penat mliyopata ulikuwa ya ajabu, mkaongezewa dakika 8 halafu unakanusha hizo tuhuma.

We vipi kijana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…