Mtego wa wizi umemnasa mtoto wa jirani yangu je nitaishi kwa amani mtaani?

Mtego wa wizi umemnasa mtoto wa jirani yangu je nitaishi kwa amani mtaani?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwaka huu pekee nimeibiwa mara tatu,walengwa ni kuku wangu maana nina uzio wa michongoma hivyo vibaka huongia ndani ya uzio kirahisi.

Ndipo rafiki yangu akanishauri kitu kuwa tuweke umeme live kwenye vitasa vya mabanda ya kuku.

Japo hairuhusiwi nilikubaliana nae tukaunga imeme live bandani,usiku tunawasha switch asibuhi tunsuz8ma.

Leo alfajiri nikasikia kelele toka bandani sauti ya kulia mamaaaaaa,kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti .

Majirani wakawahi eneo la tukio kucheki ni mtoto wa jirani

Nikawahi kuzima switch nikawaambia nimetega dawa za kienyeji.
 
Mwaka huu pekee nimeibiwa mara tatu,walengwa ni kuku wangu maana nina uzio wa michongoma hivyo vibaka huongia ndani ya uzio kirahisi.

Ndipo rafiki yangu akanishauri kitu kuwa tuweke umeme live kwenye vitasa vya mabanda ya kuku.

Japo hairuhusiwi nilikubaliana nae tukaunga imeme live bandani,usiku tunawasha switch asibuhi tunsuz8ma.

Leo alfajiri nikasikia kelele toka bandani sauti ya kulia mamaaaaaa,kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti ya three phase.

Majirani wakawahi eneo la tukio kucheki ni mtoto wa jirani

Nikawahi kuzima switch nikawaambia nimetega dawa za kienyeji.
Kausha tuuu tena waambie waombe msamaha ndani ya siku 14 vingenvyo mtoto wao atabweka ka mbwa.
 
Sasa hapo ung'ang'anie kuwa umeweka dawa za asili kulinda Kuku wako...Wabongo wanaogopa ndumba sana.

Na Jirani uwape pole ikibidi uwape hata msimbazi ya supu kwa Mgonjwa/mhanga.... na ujifanye unasikitika sana yeye kupatwa na hilo janga huku kimoyomoyo unajisemea "za Mwizi arobaidi kudadadeki".

Nadhani hatorudi tena hapo.
 
[emoji28][emoji28]
IMG-20221224-WA0017.jpg
 
Bro nyumbani kwako alafu unaogopa majirani kama hao
Mwaka huu pekee nimeibiwa mara tatu,walengwa ni kuku wangu maana nina uzio wa michongoma hivyo vibaka huongia ndani ya uzio kirahisi.

Ndipo rafiki yangu akanishauri kitu kuwa tuweke umeme live kwenye vitasa vya mabanda ya kuku.

Japo hairuhusiwi nilikubaliana nae tukaunga imeme live bandani,usiku tunawasha switch asibuhi tunsuz8ma.

Leo alfajiri nikasikia kelele toka bandani sauti ya kulia mamaaaaaa,kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti ya three phase.

Majirani wakawahi eneo la tukio kucheki ni mtoto wa jirani

Nikawahi kuzima switch nikawaambia nimetega dawa za kienyeji.
? Piga spana tu mwizi sio rafiki yako.
 
Back
Top Bottom