Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti ya three phase.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti ya three phase.
Ilitakiwa aweke kibao cha tahadhari au Danger ,angekata moto ungeshitakiwa kwa kesi ya mauaji.Punguza nguvu ya umeme utauwa wewe
Hiyo kesi ujue ingawa wanakera mbwa hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahAlifanya jamaa mmoja hii maana kila akiingia na demu ghetto, madogo wanakuja kumpiga deo, walikoma mbona.
Mwaka huu pekee nimeibiwa mara tatu,walengwa ni kuku wangu maana nina uzio wa michongoma hivyo vibaka huongia ndani ya uzio kirahisi.
Ndipo rafiki yangu akanishauri kitu kuwa tuweke umeme live kwenye vitasa vya mabanda ya kuku.
Japo hairuhusiwi nilikubaliana nae tukaunga imeme live bandani,usiku tunawasha switch asibuhi tunsuz8ma.
Leo alfajiri nikasikia kelele toka bandani sauti ya kulia mamaaaaaa,kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti .
Majirani wakawahi eneo la tukio kucheki ni mtoto wa jirani
Nikawahi kuzima switch nikawaambia nimetega dawa za kienyeji.
Mwaka huu pekee nimeibiwa mara tatu,walengwa ni kuku wangu maana nina uzio wa michongoma hivyo vibaka huongia ndani ya uzio kirahisi.
Ndipo rafiki yangu akanishauri kitu kuwa tuweke umeme live kwenye vitasa vya mabanda ya kuku.
Japo hairuhusiwi nilikubaliana nae tukaunga imeme live bandani,usiku tunawasha switch asibuhi tunsuz8ma.
Leo alfajiri nikasikia kelele toka bandani sauti ya kulia mamaaaaaa,kwenda namkuta mtoto wa jirani amegaragara chini kwa kupigwa shoti .
Majirani wakawahi eneo la tukio kucheki ni mtoto wa jirani
Nikawahi kuzima switch nikawaambia nimetega dawa za kienyeji.
Na walipe kuku wote walioibiwaKausha tuuu tena waambie waombe msamaha ndani ya siku 14 vingenvyo mtoto wao atabweka ka mbwa.
Msimbazi ya nini? Hapo atishie na kumpeleka mahakamani. Mtaani usilegee, watu watakupanda kichwani.Sasa hapo ung'ang'anie kuwa umeweka dawa za asili kulinda Kuku wako.
Na Jirani uwape pole ikibidi uwape hata msimbaze ya supu ka Mgonjwa/mhanga.... na ujifanye unasikitika sana yeye kupatwa na hilo janga huku kimoyomoyo unajisemea "za Mwizi arobaidi kudadadeki".
Na hatorudi tena hapo.
NA madhali kawaambia katega uchawi, kesi imeisha kihekima.Hiyo ndiyo yenyewe sasa akawasimulie na wenzake.
Leo iwashe saa moja jioni.
Hakuna haja kuwekeana bifu zisizo sababu na jirani.Msimbazi ya nini? Hapo atishie na kumpeleka mahakamani. Mtaani usilegee, watu watakupanda kichwani.
Hapana, siyo bifu. Wanatakiwa wajue huna utani toka mwanzo. Hatakiwi kuonyesha, wao ndiyo wanatakiwa kwenda kumuomba msamaha.Hakuna haja kuwekeana bifu zisizo sababu na jirani.
Kwa kuwa ndio kwanza ametambua tatizo basi aitafute amani at least kwa huu mwanzo...sasa ikitokea tena basi ndio iwe ka mbwai mbwai.
HaswaIlitakiwa aweke kibao cha tahadhari au Danger ,angekata moto ungeshitakiwa kwa kesi ya mauaji.
Kesi ya mtu baki kuwa ndani ya eneo lako? Asubiri kama kuna mwenda atakayeshitaki!Punguza nguvu ya umeme utauwa wewe
Hiyo kesi ujue ingawa wanakera mbwa hao
Unatoa ushahidi fasta kama alivofanya mdukuzi halafu unakomaa kua ni dawa za kienyeji, hakuna kesi hapo.Ilitakiwa aweke kibao cha tahadhari au Danger ,angekata moto ungeshitakiwa kwa kesi ya mauaji.