Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Kuna wakati fulani nakumbuka kuna shule zilifungwa kwa baadhi ya mikoa ya mwanza na shinyanga, sababu ya Gamboshi. Nini na ni wapi Gamboshi?
 
Kuna wakati fulani nakumbuka kuna shule zilifungwa kwa baadhi ya mikoa ya mwanza na shinyanga, sababu ya Gamboshi. Nini na ni wapi Gamboshi?

Gamboshi ishabaki jina tu ndg hata mimi nimekuwa nikisimuliwa tu wakati nina ndugu zangu huko.
 
Ibhambanguru,
 
nimependa sana habari za mashujaa wetu, endeleeni kuturithisha tamaduni zetu.
 
Njia ya kuelekea Musoma ukitokea Mwanza kuna kitongoji ambacho jina silikumbuki lakini kutoka barabarani unaweza kuona alama za unyayo wa huyu Bwana kwenye jiwe. Yumkini alikuwa mtu wa ajabu. Kuna vitabu vinaelezea historia yake.

Tiba

Labda kama kuna sehemu mbili, kijiji hizo nyayo ziko kijijini kwake huyo mzee, kwa treni reli ya kati ukitoka shinyanya unashuka stesheni inaitwa seke, ni kijiji hicho mkuu, na ndiko alikozikwa, na ndugu zake wapo mpaka leo. Nikipata safari ya mikoa ya huko mimi pia ningependa kwenda kushuhudia na kujifunza historia.
 
I am among the remaining heirs of Ngw'anamalundi

Kweli mkuu? safi sana, nitawatembelea kijijini kwenu kujifunza nitapokuwa na safari kanda ya ziwa. BTW, kuna yeyote mzee kabisa mwenye angalau habari za "mkono wa tatu au wa pili"...mtu mwenye lau masimulizi yenye uhakika?
 

Mkuu mimi huko kijijini kwa huyu Bwana sikuwahi kufika ila nilionyeshwa nyayo kwenye jiwe moja along side barabara ya kutoka Mwanza kwenda Sirari kama sikosei ni maeneo ya Magu.

Tiba
 
Gamboshi ishabaki jina tu ndg hata mimi nimekuwa nikisimuliwa tu wakati nina ndugu zangu huko.

Na wewe ni wa huko gamboshi, wakati tuko shule tulikuwa tunasoma na jamaa wa kutoka gamboshi tulikuwa tunamtania vibaya mno...lol
 
Mkuu mimi huko kijijini kwa huyu Bwana sikuwahi kufika ila nilionyeshwa nyayo kwenye jiwe moja along side barabara ya kutoka Mwanza kwenda Sirari kama sikosei ni maeneo ya Magu.

Tiba

Kweli mkuu, tatizo vitu kama hivi haviko well documented, ngoja tumuulize ndugu yake mwanamalunde donlucchese
 
Last edited by a moderator:

Safi Mkuu, hivi kuna vitabu hata vya hadithi vya nana hii, maana tumejazwa vya wazungu tu kwenye maktaba na maduka yetu ya vitabu!
 

Loh, hiztoria zetu waafrika za kuabiana kwa mdomo zinapotosha sana, mtu unajikuta huku umeambiwa hivi huyu kakuambia hiki....unabaki katikati!!
 
Kwa nini umfananishe NG'WANAMALUNDI na yesu, mwache yesu abaki kuwa yesu na ng'wanamalundi abaki kuwa yeye. usijaribu kuwalinganisha

Hilo ndiyo jambo pekee la msingi, mleta mada naona alitereza. YESU na Mwanamalundi ni watu tofauti sana na culture zao ni tofauti sana, japo wote walikuwa na "maajabu". Kuwalinganisha si kosa sana kama unajaribu kuangalia similarities, lakini hawawezi kuwa interchangeable.
 
Tatizo hapa Yesu mwenyewe alikua mtu tu kama Ng'wana malundi. Ispokua wazee wa kiyahudi walizitunza hadithi zake ktk maandishi na kuendelea kuhadithiana kizazi na kizazi mpaka zikakufikia na wewe.

Amina kaka Mkubwa!
 
Ungefananisha kati ya Haile Selasie ( Mungu wa watu weusi-Ethiopia) ningekuelewa kidogo.
Jaribu kumfuatilia huyu rasta man utajua yeye ni nani na ni wapi alipozidiwa na Yesu.
 
Kuna kijiji kinaitwa ISOLO kata ya SHISHANI wilaya ya MAGU mkoa wa MWANZA hapo Kuna bao limechongwa vizuri ajabu kwenye mwamba/jiwe inasemekana ni miongoni mwa vituo alivyopita Ng'wanamalundi Enzi zake.

ISOLO means BAO
 

endelea kumuabudu mbona umeshakubari kusema ni yesu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…