Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
[emoji23]mwigulu alimwambia mwandishi "mimi ni daktari wa uchumi hupaswi kunitilia shaka" hapo anatetea kodi zake[emoji1][emoji1][emoji1] Aiseee.
ππ Hao ndio waliopewaga PH.d zao bila hata kuzisotea,Sasa hayo ndio matunda yake.[emoji23]mwigulu alimwambia mwandishi "mimi ni daktari wa uchumi hupaswi kunitilia shaka" hapo anatetea kodi zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mchumi pori nina muda sijamsikia, atakuwa kapiga kimya baada ya kuona wananzengo wamegoma kuhamia burundi...[emoji23]mwigulu alimwambia mwandishi "mimi ni daktari wa uchumi hupaswi kunitilia shaka" hapo anatetea kodi zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwamba hapo huoni tatizo?Acha wivu.. Kwa hiyo unataka tukusaidie nini..
Hahah unatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.Bongo tambaraleeeee aisee.Poleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.
Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.
Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.
Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
Unataka nifikiri sawa nawe? Majibu mepesi ni walau kwenye dhania isiyo na hakika.Hahah unatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.Bongo tambaraleeeee aisee.
[emoji23]itakuwa alikatazwa na Ikulu maana alianza yale mambo eti wananchi wamemsimamisha njiani na kuanza kusifu kodiHuyo mchumi pori nina muda sijamsikia, atakuwa kapiga kimya baada ya kuona wananzengo wamegoma kuhamia burundi...
πππ Hakika wewe Nimekuongeza kwny kundi la genius Einstein.Unataka nifikiri sawa nawe? Majibu mepesi ni walau kwenye dhania isiyo na hakika.
[emoji23]yule jamaa ni pancha sana, hakuna kitu pale aisee mkuu. Imagine argument aliyoitoa ni kwamba asibishiwe kisa yy ni msomi[emoji1][emoji1] Hao ndio waliopewaga PH.d zao bila hata kuzisotea,Sasa hayo ndio matunda yake.
Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokeaPoleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.
Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.
Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.
Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
Na ndio maana nimemwambia huyo jamaa anatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokea
Nani afanye hivyo ili tu aende kupiga picha?
Hiyo paper ni kweli imevuja, na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi
Huna logic!.Na ndio maana nimemwambia huyo jamaa anatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.
Duuh! Tena karatasi yenyewe imechoka dizain. Hii inaonesha ni kweli kitu kilivuja. Mkuu utumishi achana nao, utapoteza pesa nyingi.Kutoka kwa mdau
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
πππ Wanyonge waliaminishwa UTUMISHI ndio mkombozi wao.Duuh! Tena karatasi yenyewe imechoka dizain. Hii inaonesha ni kweli kitu kilivuja. Mkuu utumishi achana nao, utapoteza pesa nyingi.
Binafsi sina mchongo kwa sasa lakini siwezi kuomba kazi kupitia hao jamaa
Hakuna kipya chini ya jua aisee., at least sa hivi watu wamekuja na evidence huku mitandaoni.Hata mwaka 2014 interview ya fire pale gereza la Ukonga paper ilivuja,watu tunatoka kwenye interview majamaa wanatamba wako na paper